Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbalaka mwishehe,mtaa wa Saba!Enzi hizo morogoro kulikuwa na kisima cha wanamuziki mbalimbali, nimemkumbuka Salim Abdala kaburi lake lilikuwa karibu na shule ya msamvu p/school
Yeah,miaka iyo 1990 tunasoma morogoro tulikuwa tunakatiza mitaa ya nunge kwa kina Salim Abdala,kulikuwa na magari ISUZU INJECTION zimeandikwa SAYMbalaka mwishehe,mtaa wa Saba!
Daah kifo,kibaya sana,juzi kati kafariki mwanamuziki nguli ,Tabia Mwanjelwa!Yeah,miaka iyo 1990 tunasoma morogoro tulikuwa tunakatiza mitaa ya nunge kwa kina Salim Abdala,kulikuwa na magari ISUZU INJECTION zimeandikwa SAY