Mwanamuziki Shaban Dede amelazwa Muhimbili

Mwanamuziki Shaban Dede amelazwa Muhimbili

real G

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2013
Posts
5,227
Reaction score
5,299
Hali ya Mwanamuziki mkonge wa Miondoko ya Dance nchini Tanzania Bwana.Shaban Dede aliyelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar Es Salaam akipatiwa matibabu inaendelea kuimarika vyema.

- Mtoto wa Mwanamuziki huyo Hamad Shaban Dede amethibitisha hali ya baba yake kuendelea kuimarika alipokuwa akihojiwa kupitia kipindi cha hizi nazo kinachorushwa na [HASHTAG]#RadioOneStereo[/HASHTAG], ambapo kwa siku za hivi karibuni baadhi ya mitandao ya kijamii ilizusha kuwa Mwanamuziki amefariki jambo ambalo halikuwa na ukweli.


Chanzo: ITV
 
apone haraka kwa nguvu za mungu, ila sijui kaimba nyimbo gani.
Umekuwa muungwana kumtakia kheri ingawa hujui alichoimba ndugu huyu ni mmoja wa manguli wa muziki wa dansi nchini toka bimalee sikinde mpaka msondo ngoma vibao kama talaka rejea au milionea wa mapenzi ni miongoni mwa vibao vyake maarufu Shaaban dede (kamchape )
 
Back
Top Bottom