TANZIA Mwanamuziki wa Reggae Bunny Wailer (Neville O'Riley Livingston) afariki dunia

TANZIA Mwanamuziki wa Reggae Bunny Wailer (Neville O'Riley Livingston) afariki dunia

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
1614742841227.png

Lejendari wa muziki wa Reggae Bunny Wailer, ambaye ni miongoni mwa waasisi wa kikundi maarufu cha Reggae kiitwacho Wailers, ambacho kilimuinua Bob Marley kwenye hadhi mziki wa ulimwengu, amefariki akiwa na umri wa miaka 73. Nyota huyo wa miaka 73 alikata roho akiuguzwa katika hospitali ya Andrews Memorial huko Jamaica.

Meneja wa Wailer aitwaye Maxine Stowe amethibitisha kutokea kwa kifo hicho. Ameeleza kuwa, Marehemu Wailer ambaye jina lake la kuzaliwa ni Neville O'Riley Livingston alikuwa analazwa hospitalini mara kwa mara tangu alipopatwa na maradhi ya kiharusi mnamo Julai 2020.

Wailer alikuwa Mwanachama mwanzilishi pekee aliyekuwa hai baada ya Marley na Tosh kuaga dunia mnamo 1981 na 1987. Baadhi ya nyimbo maarufu za Bunny Wailer ni pamoja na Blackheart Man, Protest, Time Will Tell, Crucial! Roots Classics, Rock and Groove, Liberation, Retrospective, Roots Radics Rockers Reggae, Communication na Rule This Land.

Zaidi ya hayo, Andrew Holness, waziri mkuu wa Jamaica, atuma salamu za pole kwa familia yake, marafiki na mashabiki, na kuita kifo chake "hasara kubwa kwa Jamaica na reggae".

===
Zaidi soma
Bunny Wailer, the co-founder and last living member of Jamaican reggae group the Wailers, who took Bob Marley to global stardom, has died aged 73.

His manager Maxine Stowe confirmed his death to the Jamaica Observer. Wailer had been frequently hospitalised since suffering a stroke in July 2020.

Andrew Holness, Jamaica’s prime minister, was among those paying tribute, offering “deep condolences” to his family, friends and fans, and calling his death “a great loss for Jamaica and for reggae”.

Born Neville Livingston in 1947 in Kingston, he and Marley became friends as toddlers, and formed the Wailers in 1963, which settled into a core trio of the pair alongside Peter Tosh. They released their debut album, The Wailing Wailers, in 1965 (which included their Jamaican chart-topper Simmer Down), before going on hiatus when Marley moved to Delaware in the US. Wailer was convicted for marijuana possession in 1967, and served a 14 month sentence.

They reconvened after Marley’s return and Wailer’s release, teaming with producer Lee “Scratch” Perry and his group the Upsetters, and began recording tracks in the new, slower reggae style that had emerged out of ska. Wailer penned a number of the group’s songs, including what would become his signature song, Dreamland.

By the early 70s, the Wailers had added new members and signed to Island Records, which – aided by the popularity of other new reggae stars such as Jimmy Cliff – helped bring them to international audiences. They had a global breakthrough with fifth album Catch a Fire (1973) and its follow-up, Burnin’, which featured what would become one of Marley’s signature songs, I Shot the Sheriff.

The original trio split in 1974, when Wailer left alongside Tosh. He began a solo career, beginning with 1976’s acclaimed Blackheart Man, and maintained a steady release schedule for 40 years. He won the Grammy award for best reggae album three times, in 1991, 1995, and 1997.

The Guardian
 
Back
Top Bottom