TANZIA Mwanamuziki wa Reggae Bunny Wailer (Neville O'Riley Livingston) afariki dunia

We unalamaana lipi. Halafu sijawahi kuona unachangia lamaana humu.
Huyu siku hizi kawa falafala sana. Kawa kama mtu aliyelawitiwa flani au aliyekata tamaa na maisha ambaye anaambiwa kula mbaazi uishi yeye anasema simezi dawa mimi wakati madaktari wanaona mabega juu
 
Huyu siku hizi kawa falafala sana. Kawa kama mtu aliyelawitiwa flani au aliyekata tamaa na maisha ambaye anaambiwa kula mbaazi uishi yeye anasema simezi dawa mimi wakati madaktari wanaona mabega juu
Kuna watu wengine kwa nini wasife wao wakatuachia ( Ma- legend ), sasa bangi zinamuhusu nini huyu mtoto mpuuzi sana yani
 
Bob Marley and the wailers
Jina hilo lilikuwa na maana kubwa mnoo ambayo Sio Tosh wala Burn aiielewa kwa haraka.
Walikuja kuielewa baadae sanaa na inasemekana ndio sababu hasaa iliyo watenga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…