Mwanamziki Diamond video tatu ndani ya mwezi mmoja za nini zote hizo.?

Wizkid tangu january ngoma kila mwezi na anazidi kuchanja mbuga!
Ila kwa diamond ngoma tatu tu kwa wabongo imekuwa nongwa.....
Na bado tarehe 1/9 nyingine na patoranking inakuja
Tafuta mfano mwingine.

Sent from my D6603 using JamiiForums mobile app
 
Zima tv bro zinapoanza kuchezwa

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Mondi kashushwa na munguuuu ... Naona alikiba unafumua ID fake uko kazini

Sent from my G7-L01 using JamiiForums mobile app
 
Kale kajamaa ka kariakoo kanamfanya awe mwehu aisee kenyewe kamekomaa tu na AJE, sasa kakitoa ngoma ingine anaweza kutoa nyimbo kumi kwa siku[emoji28][emoji28][emoji28]

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
Kale kajamaa ka kariakoo kanamfanya awe mwehu aisee kenyewe kamekomaa tu na AJE, sasa kakitoa ngoma ingine anaweza kutoa nyimbo kumi kwa siku[emoji28][emoji28][emoji28]

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
Acha ujinga diamond hawez kushindana alikiba.. anashindana na wababe wenzie wa kina wizkid na davido.. alikiba anashidana na hermonize

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Inakoelekea utajinyea aise sio kwa kukaza huko misuli ya nyuma[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
hahaha kwani kavunja sheria?



Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Big head thinner brain.
Unataka atoe ngapi moja.mtu kajaza nyimbo za kutosha kabatin unataka zimudodee

Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
 
Inakwenda kujizika mwnyewe huyo ndiyo mana ameanza kuiga bits za watu hyo nikwa sababu ya kuharakisha kutoa nyimba haraka haraka

Sent from my itel it1403+ using JamiiForums mobile app
 
Mpigiy sim asitowe

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
 
Kiukweli sababu kubwa ni pesa anazopata uou yube, diamond wa analipwa na you tube zaidi ya mil 60 kwa mwezi na hii ni kutokana na viewers. Sasa anapotoa nyimbo mpya anaboost mapato yake, wewe hukiuliza kwanini wcb wanape da sana kutoa video sababu ndo sehe.u wa apata pesa nyingi
 
Nimwendo bampa to bampa

Sent from my SM-J100F using JamiiForums mobile app
 
Kama ana make ela basi ana make sense.
Yanini kuyahifadhi ukishachokwa hakuna atakaye yasikiliza yaachie tu baba
 
Chris Brown anatoa nyimbo kibao kwa mwezi hakuna anaesema. Tubadilike kama anaweza fanya ivo nadhani iko poa kabsa sijaona kibaya

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Jamani mnataka kwenye shows zake aendelee kuimba nyimbo zile zile tuuu.... Lazima awe na stock ya nyimbo akija kwenye show sio tangu 2011 mpaka leo mbagala tuuuu.

Kwenye wireless concert kama mliona clips wizkid alipiga nyimbo kibao na ndo inavotakiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…