Muonee huruma. Shule huwa aziapply mitaaniSafi sana.
Huyu dada inaonyesha kapita shule lakini haijamkomboa.
Unatapeliwa kijinga kabisa baadaye unajifanya kuzimia
Mnaisingizia shule bure tu, umakini wa mali zako sio lazima uwe na degree.Safi sana.
Huyu dada inaonyesha kapita shule lakini haijamkomboa.
Unatapeliwa kijinga kabisa baadaye unajifanya kuzimia
Hakuna vyombo vya Dola TANZANIA...Kuna vyombo vya CCM. ...Japo huyu mwanamama ni mzembe.
Hivi hamna namna yoyote vyombo vya dola vinaweza walau kuzuia hiyo michezo..
Umeona majibu ya cyber yalivyo? Sijui wao kazi yao ni nini hasa.Wakuu kama mtakumbuka mwezi mmoja uliopita niliandika Mada kuhusu wasajili lain za simu wanavyotapeli Watanzania wenzetu.
Sina mengi naomba uchukue Muda kidgo sikiliza audio hapo chini
That's why tunawaita matahiraMnaisingizia shule bure tu, umakini wa mali zako sio lazima uwe na degree.
Una pesa kwenye simu, unatumia sim banking kuvuta pesa benki bado unamuachia mtu acheze na siku yako kwa zaidi ya dakika 30.. apekenyue atakavyo.
Safi sana.
Huyu dada inaonyesha kapita shule lakini haijamkomboa.
Unatapeliwa kijinga kabisa baadaye unajifanya kuzimia
Tapeli alikuwa na huruma sana. Ilibidi amuunganishie 6G na si 5G .Twapenda mteremko / vitu vya fasta fasta (msomi na asiye msomi) - 5G yenye kasi