Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Mwananchi aliyetoa zawadi hiyo amesema ameguswa na namna ambavyo Askari huyo amekuwa akimwona wakati akitekeleza majukumu yake ya usalama barabarani kwa weledi.
Askari huyo alikabidhiwa zawadi hiyo katika hafla iliyoandaliwa kwa ajili kuwaaga wastaafu pamoja na kuwapongeza askari waliofanya vizuri zaidi Mkoani humo.