Mwananchi: Kwenye daftari la mazishi ya vifo vya COVID19 Jina la babangu lilikuwa namba 256 (Amana Hospital-Ilala)


Umeandika utopolo mtupu, unaadika kuhusu covid au posho za wajinga wa ufipa
 
Ugonjwa wa corona umefichua udhaifu wa Serikali ya CCM kwenye kukabiliana na majanga ya kidunia
 
Hofu ndiyo njia bora ya kuwakinga watu, hapa America watu weusi walikuja na kauli kama hizo wakajifanya wajuaji wamekufa kwa wingi kama mbu waliopuliziwa dawa, bila watu kuwa na hofu ni vigumu Corona imalizike hapo nyumbani Tanzania
 
Hakuna mtumishi wa Afya mwenye tongotongo kichwani kama wewe.
 
Corona hata ikimalizika Duniani kote lazima itasalia Tanzania kwa miaka kadhaa kutokana na hamasa ya kuvaa barakoa kunawa mikono kuwa chini sana, bado watu wanazurula hovyo hovyo kukaa vijiweni vibarazani kwenye bar misongamano misikitini makanisani misibani vinaendelea kwa wingi kwa baraka ya viongozi wa CCM, hii ndiyo imewapelekea WHO kuchukizwa na Tabia mbaya ya Serikali ya Tanzania na kuwanyima pesa za kupambana na covid 19, kinachowakera zaidi WHO ni Hofu kuwa pindi Ugonjwa wa covid 19 utakapokuwa umemalizika Duniani huenda masalia yakawa yapo Tanzania na ikaendelea kuambukiza Nchi Jirani.WHO hawana imani na Serikali ya CCM
 
Kwa
Kwani watumishi wa Afya wote wanaishi nyumbani kwako ?
Swali lako ni linaakisi uwezo wako wa kifikiria, yaani ukiwa na akili timamu unawezaje kuuliza swali la kijinga namna hiyo?!.... Ila kwa ethics za taaluma ya Afya hakuna mjinga anayeweza kujiita mtaalamu wa afya akaja na huo upuuzi.
 
Janga la COVID-19 sio la nchi moja au taifa fulani pekee, hii ni ishu inayotukabili wanadamu wote...

Iwe ni vita ya kiuchumi au the wrath of God au the work of Lucifer, whatever that is...kama kila nchi ikiamua kupigana kivyake ina maana kuna nchi zitashinda na kuna nchi zitazoshindwa...

Sasa ole upo juu ya nchi zile ambazo hili dude litabakia kwao wakati wengine wakiwa wamelishinda
 
Tanzania inahofiwa kuwa inaenda kuwa kitovu au makao makuu ya corona Duniani na kwa kuwa hakuna uhuru wa kupata taarifa wanahofia juhudi za kutokomeza corona zitakuwa ngumu na kupelekea corona kuwa Ugonjwa wa kudumu Tanzania
 
Kwa
Swali lako ni linaakisi uwezo wako wa kifikiria, yaani ukiwa na akili timamu unawezaje kuuliza swali la kijinga namna hiyo?!.... Ila kwa ethics za taaluma ya Afya hakuna mjinga anayeweza kujiita mtaalamu wa afya akaja na huo upuuzi.
Wewe mwenyewe ni mbumbumbu kilaza juha unawezaje kujua swali la kijinga? hujielewi wewe ndiyo mpuuzi namba one peleka ujinga wako kwa wavuta Bangi wenzako huko gheto, nani kakuambia una Akili timamu? Akili timamu ni kuficha taarifa? Akili timamu ni kushabikia usiri watu wanaendelea kufa, kama hicho ndiyo kiwango chako cha kufikiri usijidanganye kwa bangi zako.
 
Hata Dump Truck..... hawaamini WHO, mi pia siwaamini hata kidogo... Wame missready sana taarifa za corona... Ukianza kuangalia taarifa zao za awali walidai covid 19 haiambukizi kwa njia ya hewa wala kugusana isipokuwa kwa kula chakula chenye virus waliathiri wengi Sana. Leo hii wanajitia vinara wa maelekezo.... USA mpaka wamestop fund kwa unafiki wao.
 
Tanzania inahofiwa kuwa inaenda kuwa kitovu au makao makuu ya corona Duniani na kwa kuwa hakuna uhuru wa kupata taarifa wanahofia juhudi za kutokomeza corona zitakuwa ngumu na kupelekea corona kuwa Ugonjwa wa kudumu Tanzania
Speculations and assuming at work.
 
Kwa
Swali lako ni linaakisi uwezo wako wa kifikiria, yaani ukiwa na akili timamu unawezaje kuuliza swali la kijinga namna hiyo?!.... Ila kwa ethics za taaluma ya Afya hakuna mjinga anayeweza kujiita mtaalamu wa afya akaja na huo upuuzi.
Endelea kuvuta Bangi ukijidanganya una uwezo wa kufikiri kumbe Bangi zimekukolea mpaka umekosa huruma kwa watanzania wenzako
 
Asante Aljazeera... Vifo Ni zaidi ya 256 vya Corona hapa Tz...

Nasubiri Ummy akanushe hii habari

Badala ya kila mtu na familia kuchukua tahadhari za kujilinda dhidi ya maambukizi watu wanashupalia kutangazwa takwimu!!! ili kuleta taharuki ama?

Dawa ya kukabiliana na mlipuko wa maradhi hayo ni kuzingatia ushauri wa madaktari na miongozo ya viongozi wenye dhamana full stop. Ndio maana wahenga walionya kuwa miruzi mingi humchanganya...... Tuache propaganda za kisiasa na za kibeberu. Jilinde wewe na familia yako kwani ukifariki atakayehuzunika zaidi ni familia yako na si Dunia, Afrika, ama mkoa wako.
 
Hamasa ya kujikinga ilikuwa kubwa awali mpaka baadhi ya misikiti makanisa yalifungwa cha ajabu mtukufu akaja na kauli kuwa corona ni kagonjwa kadogo sana na kupelekea misikiti kufunguliwa watu kujazana vijiweni vibarazani mikusanyiko bila barakoa wakiamini corona ni kaugonjwa kadogo tu, kumbe hawajui kuwa CCM wanataka watanzania wafe kwa wingi wapate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mkuu
 
Hapo ndio mwisho wako wa kifikiria njinga wahedi.
 
Kama upo karibu na Naibu Rais Daud Bashite mwambie kuwa chanzo Kikuu cha maambukizi ni mikusanyiko misongamano vijiweni vibarazani makanisani misikitini misibani hapo jijini Dsm, mkitaka takwimu za vifo ziwe chini zuieni maambukizi hayo kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…