Mwananchi: Kwenye daftari la mazishi ya vifo vya COVID19 Jina la babangu lilikuwa namba 256 (Amana Hospital-Ilala)

Hapo ndio mwisho wako wa kifikiria njinga wahedi.
Wewe mwenyewe ulishafika mwisho wa kufikiri siku nyingi unawezaje kujua kiwango cha kufikiri? Kiwango chako cha kufikiri kitarejea pindi ukitambua kuwa corona ipo na inaua watanzania kwa wingi
 
Mkuu niliwahi kuuliza hukunijibu, hivi Makonda aliwahi kukufanya vibaya huko upande mwingine?, Huwezi jibu bila kumtaja hata kama ishu haimuhusu.
 
Kama upo karibu na Naibu Rais Daud Bashite mwambie kuwa chanzo Kikuu cha maambukizi ni mikusanyiko misongamano vijiweni vibarazani makanisani misikitini misibani hapo jijini Dsm, mkitaka takwimu za vifo ziwe chini zuieni maambukizi hayo kwanza.
Tafuta dawa ya minyoo kwanza naona ishakufika kwenye ubongo.
 
Barakoa zinavaliwa hovyo hovyo zingine zinauzwa mitaani hazina TBS badala ya kuwa kinga sasa zingine zinaenda kuwa kieneza maradhi zaidi
 
Mkuu niliwahi kuuliza hukunijibu, hivi Makonda aliwahi kukufanya vibaya huko upande mwingine?, Huwezi jibu bila kumtaja hata kama ishu haimuhusu.
Hata mimi niliwahi kukuliza wewe aliwahi kukufanyia hivyo mpaka kufikiri kuwa yale aliyokufanyia wewe kayafanya kwingine
 
Tafuta dawa ya minyoo kwanza naona ishakufika kwenye ubongo.
Tafuta mganga wa kienyeji akutoe huo wanga uache kuwanga mwanga wa kuwanga uwezo wa kufikiri umefika mwisho umeanza kuisengenya ID ya JF ambayo haitokani na ubatizo msikitini wala kanisani, nilijua tu utafika huku maana siku zote ukibishana na mvuta Bangi huwa anahamisha mada, endelea kuvuta Bangi njoo na ujinga mwingine nitakujibu
 
Hata mimi niliwahi kukuliza wewe aliwahi kukufanyia hivyo mpaka kufikiri kuwa yale aliyokufanyia wewe kayafanya kwingine
Sawa hawala wa naibu raisi. Minyoo imeshakula hadi ubongo, wahi dawa.
 
Mkuu niliwahi kuuliza hukunijibu, hivi Makonda aliwahi kukufanya vibaya huko upande mwingine?, Huwezi jibu bila kumtaja hata kama ishu haimuhusu.
Hawa ndo wanajiitaga diaspora uchwara, wanadhani ukiwa nje unaakili kuliko mtu mwingine... Kumbe ndezi mpumuliwaji ...unajiitaje minyoo.
 
Hawa ndo wanajiitaga diaspora uchwara, wanadhani ukiwa nje unaakili kuliko mtu mwingine... Kumbe ndezi mpumuliwaji ...unajiitaje minyoo.
Hawezi kuwa nje ya nchi mkuu, yupo Tandahimba au Nangurukulu. Kama yupo nje ya nchi basi Burundi au Malawi.
 
Unawaza uganga mtu mzima mwenye watoto na mke... Familia zingine laana tu. Mada inaweza kuhama kulingana na uwezo mdogo wa akili ulionao.
 
Sawa hawala wa naibu raisi. Minyoo imeshakula hadi ubongo, wahi dawa.
Kipimo cha ufala umbumbumbu ujuha JF ni kuisengenya ID ya JF wewe kwa ujinga wako unajiona umeandika point? wewe utakuwa hawala yake umeamua kuwa na wivu pasipo kujua unajichoresha, ulizani ukiandika hivyo nitakosa jibu la kukupa, hapa ni uwanja wa majawabu hata ukeshe ukivuta Bangi ukiingia kwenye 18 zangu nakupa jawabu lako nyinyi watetezi wa CCM msiokuwa na huruma na watanzania wanaokufa sasa
 
Unafikiri na wao wanapika taarifa Kama serikali yenu?
wanapika sana data. Nakuhakikishia serikali yetu hapiki data ndiyo maana uchunguzi wa kina umefanywa na kugundulika madudu ya kukusanya taarifa za wagonjwa wa corona kama Mh. Rais alivyotufafanulia siku zioizopita. Nakupa ushahidi wa namna wenzetu hao wanavyopika data. Na rejea presser ya Trump alpoulizwa kwa nini utangazaji wa takwimu za kupima na kukutwa na korona linaonekana jambo la mashindano kwake. Hasa alipoulizwa swali na mwandishi wa habari CBS.
====
“Confirmed Cases”: The CDC Methodology
The CDC methodology in 2020 is broadly similar (with minor changes in terminology) to that applied to the H1N1 pandemic in 2009. “Probable cases” was replaced by “Presumptive cases”.
Presumptive vs. Confirmed Cases
According to the CDC the data presented for the United States include both “confirmed” and “presumptive” positive cases of COVID-19 reported to CDC or tested at CDC since January 21, 2020″.
The presumptive positive data does not confirm coronavirus infection: Presumptive testing involves “chemical analysis of a sample that
establishes the possibility that a substance is present “ (emphasis added). But it does not confirm the presence of COVID-19. The presumptive test must then be sent for confirmation to an accredited government health lab. (For further details see: Michel Chossudovsky, Spinning Fear and Panic Across America. Analysis of COVID-19 Data , March 20, 2020)
How is the COVID-19 Data Tabulated?
The presumptive (PC) and confirmed cases (CC) are lumped together. And the total number (PC + CC ) constitutes the basis for establishing the data for COVID-19 infection. It’s like adding apples and oranges. The total figure (PC+CC) categorized as “ Total cases” is meaningless. It does not measure positive COVID-19 Infection. And among those “total cases” are “recovered cases”.
CDC Data for April 5, 2020

source: Fake Coronavirus Data, Fear Campaign. Spread of the COVID-19 Infection - Global Research

Hivi unadhani kwa nini wana fake takwimu za ugonjwa huu!? Jibu lake utalipata ukisoma andiko hili kwa utulivu sana.
 
Hawa ndo wanajiitaga diaspora uchwara, wanadhani ukiwa nje unaakili kuliko mtu mwingine... Kumbe ndezi mpumuliwaji ...unajiitaje minyoo.
Wewe mwenyewe mbumbumbu juha kilaza hujitambui unawezaje kupima chochote? Teja mvuta Bangi akiishiwa hoja huibua upumbavu wake kama wewe ulivyoibua udhaifu wako sasa , kuweni na huruma na watanzania acheni kushabikia kuficha taarifa kwa visingizio vya kishamba
 
Unawaza uganga mtu mzima mwenye watoto na mke... Familia zingine laana tu. Mada inaweza kuhama kulingana na uwezo mdogo wa akili ulionao.
Wewe uwezo wako wa akili ni Mdogo kuliko mtoto wa chekechea unawezaje kupima uwezo wa mwingine? wewe tayari ni mbumbumbu kilaza wa kutupwa kitendo cha kubariki zifichwe taarifa za wagonjwa wa corona tayari huo ni utahira, huna kigezo cha kupima uwezo wowote endelea kuvuta Bangi usisumbue watu mitandaoni acha tujadili taarifa za corona Tanzania
 
Am sure yupo nje ya nchi na alishakuwa bwabwa.
Kama wewe unavyopakatwa na huyo mwenzako hapo gheto mnaposhinda mkivuta Bangi siyo? Acheni ufala hayo matusi yenu ya kibangi achaneni nayo turudi kwenye mada ni kwa nini mnaficha taarifa za wagonjwa wa corona?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…