The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Salaam
Hivi wagombea wanaotufaa wanapatikana CCM pekee? Kama CCM hawakupitisha wagombea tunaowataka kwenye kura za maoni hakika tutawatafuta wanaotufaa kwa vyama vingine kupitia uchaguzi wa Novemba 27.
Wanajukwaa tusiache kupiga kura, lazima tupate viongozi tunaowataka kwenye mitaa na vijiji vyetu.
Soma pia: Tandale; Wanachama wa CCM wanadai waliomchagua kwa kura nyingi ajashinda lakini mwenye kura 17 ameshinda
Video: The Chanzo
Hivi wagombea wanaotufaa wanapatikana CCM pekee? Kama CCM hawakupitisha wagombea tunaowataka kwenye kura za maoni hakika tutawatafuta wanaotufaa kwa vyama vingine kupitia uchaguzi wa Novemba 27.
Wanajukwaa tusiache kupiga kura, lazima tupate viongozi tunaowataka kwenye mitaa na vijiji vyetu.
Soma pia: Tandale; Wanachama wa CCM wanadai waliomchagua kwa kura nyingi ajashinda lakini mwenye kura 17 ameshinda
Video: The Chanzo