Mwananchi wawili kata ya minyughe singida wawekwa ndani kwa kutokupeleka nyanya na matunda sokoni.

Mwananchi wawili kata ya minyughe singida wawekwa ndani kwa kutokupeleka nyanya na matunda sokoni.

SMG

Member
Joined
Oct 1, 2011
Posts
40
Reaction score
6
Wadau naomba kuuliza.
je, kuna sheria yeyote nchini hasa maeneo ya vijijini inayomzuia mfanya biashara ndogondogo hasa za mbogamboga kutofanyia biashara yake katika eneo la nyumba yake mpaka apeleke sokoni? kuna wanakijiji wachache eneo la minyughe singida, jimbo la singida magharibi- wilaya ya ikungi wameswekwa ndani kwa kutokupeleka nyanya na matunda ili kuuzia sokoni. sasa hivi bado wako ndani na watapelekwa polisi kwa ajili ya kuandaliwa mashtaka je, hii wadau wa sheria ni sawa? jamani naombeni sana ufafanuzi juu ya suala hili.
 
Aisee hiyo inawezekana Singida hebu waje pande za Kilimanjaro waone.
 
Subutu,Ngoja Tungu Lissu na Kakake Mughway wawasikie.Hao watendaji watakoma.Alikuwepo Afisa mtendaji mmoja mwenye makengeza bado yupo?huwa anakiherehere sana.kwako SMG
 
Back
Top Bottom