Mwanandani wangu kaolewa

ANGA

Member
Joined
Jan 30, 2012
Posts
5
Reaction score
0
Nilikua na mpenzi wangu ambae nilimpenda sana na bado element za love zipo kwake, nilianza nae 2007 nikiwa f5 tuliishi vizuri na mimi nilikua wa kwanza kwake,penzi lilikuja kuingia doa 2011 pale wazazi wake walipo taka kumuozesha kwakua ni binti wa kiislamu na ana asili ya kiarabu, kiukweli swala la kubadili dini yalikua ni maamuzi magumu na mapema ingawa huko mbele ningefanya ivyo, kwa ufupi hadi sasa kaolewa lakini bado nampenda sana na amebadili namba,NIFANYEJE?
 
msahau uendelee na maisha yako......kumbuka maarab sio mtu mzuri shaurilo......
 
NIFANYEJE?
I think u nid to concentrate na shule bado..amekuonesha tu muda wako bado...
in anyway, "The beautiful ones are not yet born"..y nt wait!??
 
mwanandani ni lile shimo linalowekwa jeneza/maiti wakati wa mazishi (ndani ya kaburi panachimbwa katikati hivi, ule ndo mwanandani)

kama ni mpenzi basi MWANDANI wako
naweza kurekebishwa kama nimekosea.
 
mwanandani ni lile shimo linalowekwa jeneza/maiti wakati wa mazishi (ndani ya kaburi panachimbwa katikati hivi, ule ndo mwanandani)

kama ni mpenzi basi MWANDANI wako
naweza kurekebishwa kama nimekosea.
Mie mpaka nimeogopa kuchangia lol.
 
Wangu mie anatarajia kuolewa!! na pia sijui la kufanya!! wallah sijui nifanyeje?! sina uwezo wa kumuoa coz nimemaliza chuo juzi tu na kazi sina basi roho yaumaaa!!
 
kuweni wavumilivu wandugu...love makes no haste!!!
yule akukataaye kwa visingizio hivyo siye akupendaye kwa dhati..unataka nini zaidi ya msaada huo? keshakusaidia kutowaza sana....
 
Huyo ni mwandani wako au mwanje wako?

Unaongelea mke wa mtu hadharani? we kweli hujitambui. Pole!

Labda akuoe mme wa pili?
 
We mpuuzi kweli, Kama kaolewa unataka ufanyaje zaidi ya kumwacha.

 
Wangu mie anatarajia kuolewa!! na pia sijui la kufanya!! wallah sijui nifanyeje?! sina uwezo wa kumuoa coz nimemaliza chuo juzi tu na kazi sina basi roho yaumaaa!!

mmh hayo ndo yale mapenz ya chuo ya kudanganyana! Hana mapenz ya dhati huyo angekua nayo angekusubiri mpaka kieleweke,anyway pole!!
 

wacha upuuzi we,wanawake mbona wapo wengine wazuri kushinda uyo
 
Haya mie ushauri wangu kama kweli umeshindwa kuamua

Kama unajua anapoishi vile? haya nenda wanakoishi kamuombe mumewe akupe mkewe kwa siku moja labda utamu ule utakuwa umekwisha this time then move on.

katafute wa kwako angekupenda vile angekuomba ubadili dini then kama ulikuwa tayari kufanya hivyo later
 
Achana na mke wa mtu, si vema kwako kumtafuta na akitokea mmekutana usirudishe hisia za mapenzi kwani mke wa mtu ni sumu kali, unaweza kuuwawa dogo. ila NI hiviII

umalizapo shule, fanya kazi au biashara then after sometimes utakapo jijenga vizur kui uchum UTAPATA DEM BOMBAAAAA zaid ya huyo muarabu na hivi na ww utakua ume develop umahiri wa mapenzi bas utafaid wwww
 

wewe holewa au kama vipi jiue na wewe.
 
umelaaniwa ninimpwa we unatunza mwenzio anaoa unasema mwandani wako
unajua maana ya ndoa hope muhusika ajakusikia
 
ERROR (321) : Invalid PetCash transaction, quick reply aborted
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…