and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Vijana wengi mnakimbilia ndoa. Ni jambo jema, ila wengi wenu mkishaingia humo mnasahau malengo yenu katika maisha (career, business/ investment) maisha si kukopa benki na kununua IST/Crown baadae kujenga banda Mbagala au Mbondole bali fikiria investment hususani ya kuongeza kipato.
KAMWE Usikubali maneno ya shombo 'kukatisha tamaa' unapopambania ndoto yako.
Baba wa familia kuwa na picha pana ya maisha yenu ya baadae sio kushinda insta na ku-comment ukidhani umeyapatia
KAMWE Usikubali maneno ya shombo 'kukatisha tamaa' unapopambania ndoto yako.
Baba wa familia kuwa na picha pana ya maisha yenu ya baadae sio kushinda insta na ku-comment ukidhani umeyapatia