Hii tabia ya kuchepuka imekuwa kero sana. Kwanini usiombe talaka ukigundua uliyenaye hakutoshelezi kwenye 6 kwa 6 , badala yake unaendelea kuishi naye huku ukichepuka?
Your browser is not able to display this video.
Wanaume wengi tunaumizwa na Wanawake sababu tunatumia pesa kama chambo na siyo uwezo wa kimapenzi.
Matokeo yake mwanamke anakubali kuishi na wewe sababu ya pesa zako lakini moyoni mwake humridhishi, kitandani humridhishi, matokeo yake anatoka kwenda kutafuta mwenye uwezo wa kumsugua vizuri.
Matokeo yake unaanza kulalamika, mara huyu mwanamke nimemnunulia gari, nimemjengea nyumba, nimemfungulia biashara, nimempeleka Dubai nk
Hivyo vitu haviwezi kamwe kukata kiu ya mapenzi ya hawa viumbe.
Na ninyi Wanawake acheni tamaa, ukigundua jamaa yako hakuridhishi kitandani, achana naye hata kama ana pesa kumzidi Elon Musk.
Uking'ang'ania kuishi naye huku unam- cheat matokeo yake ni kuchomwa na gunia la mkaa.
Hii tabia ya kuchepuka imekuwa kero sana. Kwanini usiombe talaka ukigundua uliyenaye hakutoshelezi kwenye 6 kwa 6 , badala yake unaendelea kuishi naye huku ukichepuka? View attachment 3074418
Wanaume wengi tunaumizwa na Wanawake sababu tunatumia pesa kama chambo na siyo uwezo wa kimapenzi.
Matokeo yake mwanamke anakubali kuishi na wewe sababu ya pesa zako lakini moyoni mwake humridhishi, kitandani humridhishi, matokeo yake anatoka kwenda kutafuta mwenye uwezo wa kumsugua vizuri.
Matokeo yake unaanza kulalamika, mara huyu mwanamke nimemnunulia gari, nimemjengea nyumba, nimemfungulia biashara, nimempeleka Dubai nk
Hivyo vitu haviwezi kamwe kukata kiu ya mapenzi ya hawa viumbe.
Na ninyi Wanawake acheni tamaa, ukigundua jamaa yako hakuridhishi kitandani, achana naye hata kama ana pesa kumzidi Elon Musk.
Uking'ang'ania kuishi naye huku unam- cheat matokeo yake ni kuchomwa na gunia la mkaa.
Kufika kileleni/Kufikishana its an ideology. Believe me, Wengi wanatumia hiyo kama njia tu ya kuhalalisha uzinzi wao. Lkn there is nothing special abaout that.
Ndio maana mnaambiwa mpe kile kilicho ndani ya uwezo wako na hutaumia hata kikipotea.
Unahonga 700 na kipato chako ni buku lazima ulie ukipigwa tukio.
Na pia wewe unampa hizo vitu yeye anakupa nini? Kuna uwiano? Unaridhika na unachopata toka kwake?
Ukiona jibu lako ni kua unampenda ndio maana unahudumia haijalishi anachokupa unaridhika nacho au lah basi hata ukipigwa usilalamike maana hujui kuchukua tahadhari.