Mwanangu amepata kigugumizi cha ghafla, msaada kama naweza kupata tiba

Mwanangu amepata kigugumizi cha ghafla, msaada kama naweza kupata tiba

runyaga

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2013
Posts
523
Reaction score
241
Mtoto wangu ni mdogo ana miaka miwili na nusu.

Ndiyo alikuwa ameanza kuongea ila alikuwa anaongea kwa kutoa neno vizuri kabisa, ila sasa kama wiki hivi naona amekuwa na kigugumizi kwenye kuongea kwake.

Sasa nilikuwa naulizia kama kuna msaada anaweza kupata.
 
kwanza nampa Pole sana!
Kuna maswali itabid Anisaidie..

  • Kwenye Ukoo au familia kuna watu/Mtu ana kigugumizi au ndugu yake yoyote ana kigugumizi?
  • Mtoto alichukua Muda gani kulia kipindi anajifungua vipi anaweza kujua APGAR score ya Mtoto?
  • Amewahi kuanguka kudondoka kwa kuangukia Kichwa? au kupata ajali yoyote?
  • Watu wanaomzunguka au Kumlea (Dada wa kazi na wengine) hawana Kigugumizi??
Hata hivyo nimtoe hofu tu kwamba kwenye kipindi cha Speech development hasa mtoto akiwa Na miwaka 1 na nusu mpaka miaka mitatu..

hupitia mabadiliko mengi sana na huweza kuaddapt mazingira anayokutana nayo hasa kwenye upande wa Maongezi haraka sana Hivyo anapaswa kuwa makini na kumuongelesha mtoto mara kwa mara ili aweze kutengeneza Lugha kwenye akili na ubongo wake..

Pia kumbadilishia Mazingira mtoto Kwenye kipindi hicho pia sio vizuri sana namaanisha kuhama hama sehemu..Inamfanya ashindwe kuzoea mazingira..

Hata hivyo linaweza pia kuwa Swala la Neurological speech Development na atahitaji Vipimo zaidi,

Na huenda Akawa na Underlying Medical Condition kama Autism au Cerebral palsy so nashauri angempeleka Hospitali Kwa uchunguzi zaidi..

CC: runyaga
 
kwanza nampa Pole sana!
Kuna maswali itabid Anisaidie..

  • Kwenye Ukoo au familia kuna watu/Mtu ana kigugumizi au ndugu yake yoyote ana kigugumizi?
  • Mtoto alichukua Muda gani kulia kipindi anajifungua vipi anaweza kujua APGAR score ya Mtoto?
  • Amewahi kuanguka kudondoka kwa kuangukia Kichwa? au kupata ajali yoyote?
  • Watu wanaomzunguka au Kumlea (Dada wa kazi na wengine) hawana Kigugumizi??
Hata hivyo nimtoe hofu tu kwamba kwenye kipindi cha Speech development hasa mtoto akiwa Na miwaka 1 na nusu mpaka miaka mitatu..

hupitia mabadiliko mengi sana na huweza kuaddapt mazingira anayokutana nayo hasa kwenye upande wa Maongezi haraka sana Hivyo anapaswa kuwa makini na kumuongelesha mtoto mara kwa mara ili aweze kutengeneza Lugha kwenye akili na ubongo wake..

Pia kumbadilishia Mazingira mtoto Kwenye kipindi hicho pia sio vizuri sana namaanisha kuhama hama sehemu..Inamfanya ashindwe kuzoea mazingira..

Hata hivyo linaweza pia kuwa Swala la Neurological speech Development na atahitaji Vipimo zaidi,

Na huenda Akawa na Underlying Medical Condition kama Autism au Cerebral palsy so nashauri angempeleka Hospitali Kwa uchunguzi zaidi..

CC: runyaga
Asante sana dr,
Kuhusu kwenye familia hatuna changamoto hiyo ya kigugumizi na pia kwa watu wa karibu pia hakuna,
Kuhusu kuanguka sidhani kama alishawahi kuanguka mpaka kutisha kiasi icho.
Hapa itabidi nimpekele hospitali kwa uchunguzi zaidi.

Nashukuru sana kwa muitikio wako
 
Asante sana dr,
Kuhusu kwenye familia hatuna changamoto hiyo ya kigugumizi na pia kwa watu wa karibu pia hakuna,
Kuhusu kuanguka sidhani kama alishawahi kuanguka mpaka kutisha kiasi icho.
Hapa itabidi nimpekele hospitali kwa uchunguzi zaidi.

Nashukuru sana kwa muitikio wako
Karibu chief
 
Mtoto wangu ni mdogo ana miaka miwili na nusu.

Ndiyo alikuwa ameanza kuongea ila alikuwa anaongea kwa kutoa neno vizuri kabisa, ila sasa kama wiki hivi naona amekuwa na kigugumizi kwenye kuongea kwake.

Sasa nilikuwa naulizia kama kuna msaada anaweza kupata.
Habari,
Mtoto anaendeleaje?
Kuna mazingira yanayoweza kusababisha kuanza kwa kigugumizi hata kama hakuna shida ya kiafya (organic(misuli na mishipa ya fahamu vs genetic).
Mfano:
1: Stress: kama mazingira ya mtoto yamebadilika kama kwenfa shule, ambayo kwake inaweza kuwa si ya mazingira mazuri au walimu husika.

2: Watu wanaomzunguka kumwekea mazingira ya kutaka aongee kwa haraka.

3: Kumalizia sentensi ya mtoto kwa kumkatisha.

Suluhisho:
1: Onyesha kujali maongezi ya mtoto na mpe muda wa kuongea amalize/usimkatishe.

2: Jaribu kuchunguza mazingira mapya ya mtoto kama yana changamoto yoyote.

3: Mtoto apewe vyakula, mlo kamili na hasa vitamin B12 kama: jamii njugu, samaki, ndizi na kuku.
 
Back
Top Bottom