gashambala uwezo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 485
- 67
Habari ndugu zangu,
Mwanangu tangu tarehe 9/2 alikuwa anaharisha, tukampeleka maabara kapimwa kinyesi (stool), tuliomba apimwe kipimo kimoja tu, na kukaonekana kuna Amiba, dakitari alituandikia dawa za kununua (metronidazole benzoate suspension).
Dawa hii hatukununua mana'ke tulikuwa nayo, hiyo tulienda nyumbani na kuanza kumpa dawa .
Hata hivyo usiku alishikwa na joto la khali ya juu sana lililo ambatana na kushituka shituka, kesho yake tena tukaenda kumpima malaria, ambapo alionekana hana malaria, jioni hali ilizidi, tukaamua kununua tu dawa ya Malaria tukiamini kwamba pengine ile dawa ya kwanza ilifanya wasiione malaria (tulinunua mseto ya watoto).
Hata hivyo, siku ya Ijumaa hali yake haikuwa nzuri, tukaamua kumpeleka njilani kuna kadispensary, tukamwelezea na akamwandikia dawa hizi, mwanzo alionekana amepona lakini hali imerudi tena. Aliandikiwa dawa hizi; (Alatrol syrup na toto-mal. Paracetamol suspension)
Msaada!
Mwanangu tangu tarehe 9/2 alikuwa anaharisha, tukampeleka maabara kapimwa kinyesi (stool), tuliomba apimwe kipimo kimoja tu, na kukaonekana kuna Amiba, dakitari alituandikia dawa za kununua (metronidazole benzoate suspension).
Dawa hii hatukununua mana'ke tulikuwa nayo, hiyo tulienda nyumbani na kuanza kumpa dawa .
Hata hivyo usiku alishikwa na joto la khali ya juu sana lililo ambatana na kushituka shituka, kesho yake tena tukaenda kumpima malaria, ambapo alionekana hana malaria, jioni hali ilizidi, tukaamua kununua tu dawa ya Malaria tukiamini kwamba pengine ile dawa ya kwanza ilifanya wasiione malaria (tulinunua mseto ya watoto).
Hata hivyo, siku ya Ijumaa hali yake haikuwa nzuri, tukaamua kumpeleka njilani kuna kadispensary, tukamwelezea na akamwandikia dawa hizi, mwanzo alionekana amepona lakini hali imerudi tena. Aliandikiwa dawa hizi; (Alatrol syrup na toto-mal. Paracetamol suspension)
Msaada!