Mwanangu ananirekodi video za uchi nikioga na nikilala

Mwanangu ananirekodi video za uchi nikioga na nikilala

princewilly

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2017
Posts
259
Reaction score
528
Kutoka Ukurasa wa Instagram wa Idd Makengo

Naomba unisaidie kama hiki ni kitu kibaya kwa mwanangu kwani nahisi kuchanganyikiwa. Mwanangu wakiume alinyonya mpaka alipofikisha miaka minne ndiyo nikamuachisha, mimi na mwanangu tuko karibu sana. Namlea mwenywe kwani Baba yake tulishaachana na hamjali kwa chochote, mwanangu ndiyo kila kitu kwangu sasa hivi ana miaka tisa.

Tangu akiwa mdogo nimekua nikilala naye chumbani, namuogesha na mpaka sasa hivi na miaka tisa namfanyia kila kitu. Nilikua naona kama kawaida kuvua nguo mbele yake na hata kuvaa mbele yake sikuona shida. Tukiingia chooni labda kuoga nilikua na uwezo wa kuvua nguo na kuoga mbele yake sikuona shida kabisa na sikuhisi kama ni kitu kibaya.

Niliacha mwaka jana akiwa na miaka tisa nikaacha kabisa kuoga naye ila bado namuogesha, niliacha kwakua kila nikivua nguo mbele yake niliona anasisimkwa kwa maana anasimamisha. Nikauliza baadhi ta marafiki zangu wakaniambia si kitu kizuri, lakini aligoma kabisa kulala peke yake nikalazimika kulala naye chumba kimoja.

Mwanangu ana uhuru na simu yangu na ni mtundu sana, ana akili sana na mara nyingi kwenye simu yeye ndiyo hunielekeza baadhi ya vitu. Sasa kuna siku rafiki yangu alitumia simu yangu, akashangaa kuona pciha na video zangu za uchi nikiwa naoga na pia nikiwa nimelala, nilishangaa sana kwani sijawahi kupiga picha za namna hiyo na wala kumuingiza mwanaume nyumbani kwangu.

Niliwaza sana mpaka nikahisi labda mwanangua lishika simu zikajirekodi bila kujua. Nikazifuta kwani zilikua kama nne hivi, basi nikasahau lakini juzi nilikua navua nguo naingia bafuni wakati naoga sijui ilikuaje nikawa nachukua taulo. Nikashangaa kuona simu yangu inadondoka, bafu langu nikubwa hivyo lina kikabati flani cha mataulo, simu yangu ilikua imetegeshewa na inanichukua video.

Nilishtuka kwani mwanzo mwanangu ndiyo alikua nayo, nilitaka kuichukua lakini niaksema hapana, ngoja niangalie mchezo wake. Basi nikairudisha kisha nikamaliza kuoga, nikarudi chumbani nikavaa, yeye alikua sebuleni. Aliponiona nimetoka chumbani, aliingia bafuni akachukua simu na kuanza kuangalia video aliyorekodi.

Nilimfuata bafuni alishtuka sana, nikamuuliza ulikua unafanya nini akaanza kulia. Nikalazimika kumbembeleza ndipo aliniambia kuwa hawezi kulala bila kuangalia mwili wangu nikioga, hivyo kalazimika kunichukua video ili awe ananiangalia kwakua nilimkataza kuoga na mimi. Kaka sijui nifanye nini na huyu mtoto, sijui kama nilifanya makosa au nifanye nini sasa naomba ushauri.
 
Huyu idd makengo ni muandishi mzuri Sana wa stori

Ameteka soko la kina mama huko nadhani ni mfanya biashara anafanya or kuandika chochote ili apate wasomaji na kutamgaza biashara yake huko kwenye halaiki ya fb na insta.

Binafsi nilishawahi mfollow na kumfatilia Ila badae nikaachia sababu nilionao kabisa nadanganywa hasa na story zake.
Anawajaza mabinti na wamama viburi kwa upande wangu ningefata mafundisho yake yalio mengi ningekua nimeshabwagwa🤭
 
Back
Top Bottom