Mwanangu anasumbuliwa na kifua

Mwanangu anasumbuliwa na kifua

Joined
Oct 20, 2019
Posts
41
Reaction score
55
Habari wana jamii forum. Nina mtoto wangu wa kiume miaka 2 na nusu, mwanagu huyu anasumbuliwa mno mno na kifua na hata mafua.

Nimehangaika hospital nyingi anapewa madawa na kuchomwa sindano kwa udogo wake namuhurumia sana nimekuwa mtu wa mawazo sana sindano zinamuumiza hapa napoleta post amelazwa hospital ya Rabinsia wanasema ni Rimonia.

Hata akitoka kiua kipp paleoale hakippni. Naomba kuleta kwenu mnishauri kwa yoyote aliyepitia changamoto hii mwanae aliponaje nitashukuru kwa ushauri ili niweze msaidie kijana wangu huyu anayeteseka sana.

N:b hatuna historia za pumu katika familia zetu Dawa zote na sindano kashatumia na hazojamsaidia amekuwa mnyonge na kuppteza nuru sababu ya kifua.
 
Habari wana jamii forum. Nina mtoto wangu wa kiume miaka 2 na nusu, mwanagu huyu anasumbuliwa mno mno na kifua na hata mafua.

Nimehangaika hospital nyingi anapewa madawa na kuchomwa sindano kwa udogo wake namuhurumia sana nimekuwa mtu wa mawazo sana sindano zinamuumiza hapa napoleta post amelazwa hospital ya Rabinsia wanasema ni Rimonia. Hata akitoka kiua kipp paleoale hakippni.

Naomba kuleta kwenu mnishauri kwa yoyote aliyepitia changamoto hii mwanae aliponaje nitashukuru kwa ushauri ili niweze msaidie kijana wangu huyu anayeteseka sana.

N:b hatuna historia za pumu katika familia zetu
Dawa zote na sindano kashatumia na hazojamsaidia amekuwa mnyonge na kuppteza nuru sababu ya kifua.
 
Pole sana kwakuuguza mkuu,je ulimfanyia uchunguzi wa kimeo ,kama nikirefu huwa kinakatwa mana nacho nasikia nikati yavitu vinavyofanya mtoto kuwa na kikohozi kisichoisha
 
Habari wana jamii forum. Nina mtoto wangu wa kiume miaka 2 na nusu, mwanagu huyu anasumbuliwa mno mno na kifua na hata mafua.

Nimehangaika hospital nyingi anapewa madawa na kuchomwa sindano kwa udogo wake namuhurumia sana nimekuwa mtu wa mawazo sana sindano zinamuumiza hapa napoleta post amelazwa hospital ya Rabinsia wanasema ni Rimonia. Hata akitoka kiua kipp paleoale hakippni.

Naomba kuleta kwenu mnishauri kwa yoyote aliyepitia changamoto hii mwanae aliponaje nitashukuru kwa ushauri ili niweze msaidie kijana wangu huyu anayeteseka sana.

N:b hatuna historia za pumu katika familia zetu
Dawa zote na sindano kashatumia na hazojamsaidia amekuwa mnyonge na kuppteza nuru sababu ya kifua.
Pole sana ndugu yangu kwa kuuguza mungu ataleta wepesi atapona,sina ujuzi sana katika hilo
 
Habari wana jamii forum. Nina mtoto wangu wa kiume miaka 2 na nusu, mwanagu huyu anasumbuliwa mno mno na kifua na hata mafua.

Nimehangaika hospital nyingi anapewa madawa na kuchomwa sindano kwa udogo wake namuhurumia sana nimekuwa mtu wa mawazo sana sindano zinamuumiza hapa napoleta post amelazwa hospital ya Rabinsia wanasema ni Rimonia. Hata akitoka kiua kipp paleoale hakippni.

Naomba kuleta kwenu mnishauri kwa yoyote aliyepitia changamoto hii mwanae aliponaje nitashukuru kwa ushauri ili niweze msaidie kijana wangu huyu anayeteseka sana.

N:b hatuna historia za pumu katika familia zetu
Dawa zote na sindano kashatumia na hazojamsaidia amekuwa mnyonge na kuppteza nuru sababu ya kifua.
Si magonjwa yote yanatokana na hali ya kawaida ya maambukizi ya binadamu. Mengine (tena yaliyo mengi) ni nguvu za giza! Hapa ndo raha ya kuokoka!

Sio kwenda uombewe! Ukiwa umeokoka wewe ni kuhani kuna mafunuo ya kutambua kinachoendelea! Take it or leave it! Huo ndo ukweli!
 
Si magonjwa yote yanatokana na hali ya kawaida ya maambukizi ya binadamu. Mengine (tena yaliyo mengi) ni nguvu za giza! Hapa ndo raha ya kuokoka! Sio kwenda uombewe! Ukiwa umeokoka wewe ni kuhani kuna mafunuo ya kutambua kinachoendelea! Take it or leave it! Huo ndo ukweli!
Ni vizuri kama ukamshauri matibabu apate kumtibu mwanae apone kuliko kuendekeza vitu vya kiroho ambavyo havina uhusika kwenye mwili
 
Pole sana kwakuuguza mkuu,je ulimfanyia uchunguzi wa kimeo ,kama nikirefu huwa kinakatwa mana nacho nasikia nikati yavitu vinavyofanya mtoto kuwa na kikohozi kisichoisha
Hapana sijamfanyia bado je inaweza kuwa sababu ya kifua cha mara kwa mara?
 
pole sana mkuu, mchunguze mtoto kwenye koo lake kile kimeo yawezekana ni kirefu na ikiwa hivyo basi haticha kuumwa kifua mpaka hicho kimeo kipate suluhisho. Wataalam wa afya huwa wanaikataa dhana ya kukata kimeo wao husema ni uvimbe tu hivyo unatibiwa huo uvimbe ila kimtaamtaa wengi huwa wanavikata na ndo inakuwa mwisho w tatizo. mimi nilipokuwa mtoto pia nilikuwa mhanga wa hii kitu na nilikatwa hicho kimeo nikiwa na miaka 7 till today on my 30's sijawahi pata shida yoyote
 
Habari wana jamii forum. Nina mtoto wangu wa kiume miaka 2 na nusu, mwanagu huyu anasumbuliwa mno mno na kifua na hata mafua.

Nimehangaika hospital nyingi anapewa madawa na kuchomwa sindano kwa udogo wake namuhurumia sana nimekuwa mtu wa mawazo sana sindano zinamuumiza hapa napoleta post amelazwa hospital ya Rabinsia wanasema ni Rimonia.

Hata akitoka kiua kipp paleoale hakippni. Naomba kuleta kwenu mnishauri kwa yoyote aliyepitia changamoto hii mwanae aliponaje nitashukuru kwa ushauri ili niweze msaidie kijana wangu huyu anayeteseka sana.

N:b hatuna historia za pumu katika familia zetu Dawa zote na sindano kashatumia na hazojamsaidia amekuwa mnyonge na kuppteza nuru sababu ya kifua.
Mtibu minyoo.
 
Habari wana jamii forum. Nina mtoto wangu wa kiume miaka 2 na nusu, mwanagu huyu anasumbuliwa mno mno na kifua na hata mafua.

Nimehangaika hospital nyingi anapewa madawa na kuchomwa sindano kwa udogo wake namuhurumia sana nimekuwa mtu wa mawazo sana sindano zinamuumiza hapa napoleta post amelazwa hospital ya Rabinsia wanasema ni Rimonia.

Hata akitoka kiua kipp paleoale hakippni. Naomba kuleta kwenu mnishauri kwa yoyote aliyepitia changamoto hii mwanae aliponaje nitashukuru kwa ushauri ili niweze msaidie kijana wangu huyu anayeteseka sana.

N:b hatuna historia za pumu katika familia zetu Dawa zote na sindano kashatumia na hazojamsaidia amekuwa mnyonge na kuppteza nuru sababu ya kifua.
jaribu pia na kwa huyu pediatrician ( Dr. Thomas Finkbeiner wa afyaca) anafanya online ila kwa appointment. Book humu www.afyaca.com
 
Sikiliza hapa kwanza ......je huwa anatumia vile vi juice vya glasi? Je zile za Azam kijoti na za dizaini ile ?..........je unampa sana biscuits na madude madude ya dizaini ile? Kuna zile sijui keki ya birthday ina wekwaga ile ice sugar...... Kama jibu ni ndio......muone specialist wa watoto
 
pole sana mkuu, mchunguze mtoto kwenye koo lake kile kimeo yawezekana ni kirefu na ikiwa hivyo basi haticha kuumwa kifua mpaka hicho kimeo kipate suluhisho. Wataalam wa afya huwa wanaikataa dhana ya kukata kimeo wao husema ni uvimbe tu hivyo unatibiwa huo uvimbe ila kimtaamtaa wengi huwa wanavikata na ndo inakuwa mwisho w tatizo. mimi nilipokuwa mtoto pia nilikuwa mhanga wa hii kitu na nilikatwa hicho kimeo nikiwa na miaka 7 till today on my 30's sijawahi pata shida yoyote
HUU NDIO USHAURI...UTAMTESA MTOTO NA MADAWA NA SINDANO ZA HOSPITAL...MCHUKUE NENDA KARIAKOO ULIZA MTAA WA MKATA VIMEO MAARUFU...NIMESHASAHAU JINA LAKE...FANYA CHAP...HILO TATIZO LITAKWISHA...

MIMI MWANANGU ALIKUWA HIVYO HIVYO MPAKA ALIKONDA SANA...
 
Back
Top Bottom