Mmm...jaman dv 4 wanaeza pata gvnt xul..from wat i no dv 4 kupata gvnt xul ni ndoto n kwa prvt lazma crdt 3..lazma atafute credt 1 ili aweze kufanya necta form 6. Crdt 3 ni lazma ili kuweza kujiunga 4m 5.na credt hzo ziwe za somo lolote..ukiwa na hzo 3 utasoma any combination of ur choice
nimeambiwa now hata credit mbili za komb ya science unasoma bila kutafuta c nyingine,
Div 4 ya 26
BIO C
CHEM C
PHY D
GEO D
KISW D
HIST D
CIV D
ISLAMIC D
MATH F
YEYE ANAPENDA ASOME PCB AU CBG nisaidieni shule ambayo itamchikua huyu mwanangu
kama shule gani
Mm nakusha mpelekw chuo aanze certificate then diploma mpk degree, kuresit ni kazi sana maana Ana crdt 2 angekuwa na 3 angepata shule,
yaani anavyoitaka advance mkuuAkiweza ajaze fomu ya wizara ya Afya kama ana interest ya kuwa daktar baadae.asome diploma ya Clinical medicine.au hata certificate ambayo ni miaka miwili baadae atasoma diploma mwaka mmoja.KWA ADVANCE MPAKA AWE NA CREDIT TATU
asante mkuu kwa mchango wako wa mawazoNampa pole no way out.Akubaliane na uhalisia wa matokeo.La sivyo itabidi arisiti mpaka aipate hiyo credit moja.Akichelewa anaweza kupoteza mwaka bure.Awe na akili ya kiutu uzima sasa.ASIWE MBISHI KTK OPTION AMBAZO WATU WANAMPA KAMA MAWAZO ZITAMSAIDIA
Aende majengo sekondari awez akakosa
nimeambiwa now hata credit mbili za komb ya science unasoma bila kutafuta c nyingine,
Aliyekwambia hana taarifa sahihi. Hauwezi kusoma A'level bila kuwa na credit chini ya 3. Hapo inabidi arudie baadhi ya masomi huku akiendelea kusoma A'level. Ningemshauri asome CBG kama anapenda sayansi, kwa PCB, Physics itamsumbua manake anaonekana hayupo vizuri kwenye hesabu.
sawa mkuu ila mkuu mwenyewe anadai alikuwa vizuri sana kwenye GEOGRAPH na KISWAHILI anadai nimpe fedha aka appeal hiyo mitihani miwili je mkuu vp kuhusu matokeo ya kuappealAf kingine kama unauwezo wa kumsomesha chuo mpeleke akasome certificate, hizi biashara za kurisiti au kosoma A'level siku hizi naona sio kabisa anaweza akarisiti mara mbili na credit asipate na hapo anakuwa amepoteza muda. Na anaweza akapata na akaenda A'level af matokeo yakawa sio mazuri tena. Bora aanze kuwa na professional mapema kwa kusoma certificate. Ninavyoamini mimi elimu ya secondary ni ngumu mno kuliko ya chuo.
Div 4 ya 26
BIO C
CHEM C
PHY D
GEO D
KISW D
HIST D
CIV D
ISLAMIC D
MATH F
YEYE ANAPENDA ASOME PCB AU CBG nisaidieni shule ambayo itamchikua huyu mwanangu