kwahiyo apo anaweza piga advance kwa result hizo.alafu kuna watu wananiambia anaweza kuchaguliwa katika selection zikitoka kama alichagua komb hizo
anadaiwa credit moja (c or above) ili afanye mtihani wa f.6. Kuwa na f ya hesabu, kusoma shule za private sio tatizo sana kwa sababu hajachagua comb. Yenye hesabu. In short, atafute credit moja zaidi ili aje afanye mitihani ya adv. Level
Mkuu wangu Sheko huwezi kusoma A-level kama huna CREDIT 3, usiogope risiti tu mtihani utatoka, Pia ukisema uende Advance huku unatafuta Credit 1 basi ujue si vyema koz hata kama utapata hiyo credit basi utalazimika kupiga pepa la 4m6 kama Private Candidate(PC) kitu ambacho ni kibaya hakifai na utaweza kufeli kwani mithiani ya PC na usahishaji huwa haupo fair.
But ukirisiti na kupata credit ndo uende Advance with full 3 credits, hapo itakuwa poa sana koz utapiga pepa la 4m6 kama School Candidate(SC).
NOTE:
Talking from the experience.
sawa mkuu ila mkuu mwenyewe anadai alikuwa vizuri sana kwenye GEOGRAPH na KISWAHILI anadai nimpe fedha aka appeal hiyo mitihani miwili je mkuu vp kuhusu matokeo ya kuappeal
Kuappeal ni day dream.
kwanini mkuuKuappeal ni day dream.
kwanini mkuu
Dah! Yani hapo mwanangu advance ndo basi tena!
Mkuu mwambie arisiti tu, Mi sipendekezi maswala ya vyuo koz ni pas ndefu sana mpaka afike university basi atakuwa ameshazeeka.
Ngoja nimwambie atafute hilo kalai moja
Siku hizi bwana maisha yamekuwa easy sana, uwepo wa private schools nyingi imekuwa msaada sana, enzi zetu hapo mwanao ndo nitolee mana tulitegemea government schools only, ambazo kwa matokeo haya asingepata vinginevyo aende short combination pamoja na ualimu.
Mkuu mwambie dogo next time akaze msuri siyo kuwa anakupa pressure ya kuwa unaumiza kichwa kwa kuja kuuliza hata wasiohusika na kuchagua wanafunzi wa kwenda high school, mwishowe inakuwa speculation tu na kukupa psychological boost, kumbe dogo hajafanya vizuri.
Shule nadhani atapata ila atatakiwa a arudie (reseat) ili apate credit ya tatu, sina uhakika kama anaruhusiwa kufanya somo moja tu, nilisikia mfumo mpya unatakiwa kufanya masomo kadhaa wakati unapotafuta credit, je ataweza wakati anatakiwa concentration ya high school?
Mungu akusaidie ndg yangu.