Mwanangu atapata mkopo kwa matokeo haya?

hata udom mathematics atapata mpaka mkopo.
kusoma science & maths jamani rahaa ukifaulu
 
Gs F
Kis E
Eng E
His E
Helsb wanaweza kumpa mkopo kwa hilo tokeo hapo juu

aombe educare I mean education mkopo atapata, accommodation 450000(huenda ikapanda wakikinukisha ) kila baada ya 2 months na atalipiwa nusu ya ada yake
 
Gs F
Kis E
Eng E
His E
Helsb wanaweza kumpa mkopo kwa hilo tokeo hapo juu

mkopo lazima apate, kuna jamaa alikuwa na S ZOTE, yupo udsm anafanya degree ya mambo ya kale( Archaeology) na alipata boom kama kawaida! cha msingi wakati wa kuomba mwambie ajaze vyuo vyote vya serikali akiweka tuu cha private imekula kwake
 

mkuu umechapia!!kigezo cha kusoma chuo kikuu ni kuwa na atleast pricipal passes mbili!!hicho kigezo cha F ya GS ww umekiona kwenye prospectus ya chuo gani??,
 
Mkuu kwa kauli yako ya F za gs kukosa sifa ya kusoma bachela huoni kwamba kwa mwaka huu vyuo vingi vitakosa wanafunzi? labda waende Diploma coz madogo wamefeli sana haya masomo ya subsidiary---BAM na GS

kigezo cha kukosa chuo eti kwakua mtu kapata F ya GS hakipo!!wanachoangalia ni principal passes mbili tu!!hayo ya GS hakuna prospectus yyt iliyoyazungumzia!
 
mkopo lazima apate, kuna jamaa alikuwa na S ZOTE, yupo udsm anafanya degree ya mambo ya kale( Archaeology) na alipata boom kama kawaida! cha msingi wakati wa kuomba mwambie ajaze vyuo vyote vya serikali akiweka tuu cha private imekula kwake

acha kutudanganya bana!mtu mwenye S zote huyo hana principal pass hivyo hawez kupata nafasi chuo kikuu chochote tz!!

Ili mtu adahiliwe kusoma chuo kikuu ni lazima awe na atleast principal passes mbili!! Na kwa advanced level tunaposema principal pass tunamaanisha alama A mpaka E!

Na diploma wanahitaji principal pass moja na subsidiary moja!!,huyo jamaa yako kakudanganya mkuu,
 
Mwanao chuo atapata,lkn kuhusu mkopo kipaumbele kimewekwa kwa wale wanaosoma education na sayansi!

Hivyo,kwa ufaulu wa kijana wako atapata mkopo endapo atasoma education tu!!
 

tatizo watanzania ni wabishi sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…