steveslove
Senior Member
- Jul 18, 2012
- 110
- 32
- Thread starter
-
- #21
Gap kati ya mtoto wa miaka 7 na miaka 3 ni kubwa sana kwa mtoto. Miaka 7 anajiona ni mkubwa kwa mdogo wake (hata interest zinatofautiana sana) hivyo hawezi kumchangamsha kama ambavyo unadhani anaweza. Kama hamna watoto wengine karibu (3-5yrs) mpeleke day care akachangamshwe na wenzie. Alafu tumia muda mwingi kuongea nae, msemeshe, msikilize na akipatia kitu msifie. Watoto ni wepesi kujifunza haswa anapojua mnamfurahia akijua kitu.
ram sio watoto wote wa kiume wanachelewa bana. Wangu wa miazi 15 ameshajua maneno kibao, mpaka twende nje
(ende nje) anasema. Watoto wanachelewe kutembea/kuongea kwasababu wazazi hawana muda wa kutosha kuwa nao. Ukiwa na muda wa kutosha na mwanao pia usipomlimit (sijui chini ya miezi sita asikae ataumia, kumbeba beba kila saa ndio vitu vinavyolemaza watoto.) mbona atakuwa kama mashine.
mimi sijaajiriwa nimejiajiri so muda mwingi nipo home na mtoto I do talk to him, day care i think is the best idea