wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Hii ni kauli ambayo sitokaa niisahau siku nilipomuaga mama yangu mzazi kuwa naenda mjini kutafuta maisha, lakini kwa ukarimu na unyenyekevu mama alinitizama na kisha akasema!!!mwanangu!nimekuruhusu nenda kwa amani lakini uwe makini na hao wazaramo wa huko.
Kweli huwa nikikumbuka hii kauli huwa sielewi mama alimaanisha nini!!Vipi wewe mara yako ya kwanza kuaga kuwa anaenda mjini ni kauli gani ya mwisho mzazi au mlezi kukuambia!!
Kweli huwa nikikumbuka hii kauli huwa sielewi mama alimaanisha nini!!Vipi wewe mara yako ya kwanza kuaga kuwa anaenda mjini ni kauli gani ya mwisho mzazi au mlezi kukuambia!!