Mwanangu wa miaka 9 amekutwa na Virusi vya UKIMWI, sijui amevitoa wapi?

Mkuu, pole sana kwa taarifa hizi za kushtusha,i cant imagine what you are going through,i have been there,nimeshawahi kutumia PEP, niliteseka sana so najua ninachomaanisha,cha muhimu hapi ni kuhakikisha anaanza kuhudhuria ART mapema ili aanze kupatiwa ARV, kupunguza viral load na kupandisha CD4, all in all its very pain full situation. sema kwa wenzake waliobakia,uwe makini,wapatiwe elimu ya vvu na ukimwi, makundi rika wanayocheza nayo pia uwe nayo makini
Pole sana mkuu
Kuwa na imani
 
duuuuh kiatu kimenibana hiki pole sana mkuuu
 
mmmh nimekos hata la kusema muhimu ni apime DNA kwanza
DNA inaweza kuibua mengi na ndio ikawa mwisho wa familia, nafikiri jambo muhimu ni kumwanzishia mtoto dawa na pia kuwaambia yeye na wadogo zake hali halisi. Kutafuta mchawi kunaweza kuisambaratisha familia fasta.
 
Bonge la dawa habbat soda Mimi kwa sasa hua naenda Hosp kufata vipimo najitibu kwa miti shamba tu!

Watu wanapona ukifata proper dose though some people will argue!
Wakubwa tupeane formula basi ya kutumia hiyo Habbat soda. Kwanza ikoje hiyo soda??
 
Very sad,pole sana ndg kumbuka vyanzo vya maambukizi ya ukimwi siyo ngono peke yake,
Kuna
1.kuongezwa damu yenye maambukizi kwa uzembe wa tabibu
2.ajari zinazotokea kila siku huenda aliwahi kugusana na damu yenye HIV + kwenye sehemu ya jeraha
3.kitu chenye ncha kali kilichotumiwa na mwenye HIV na damu ikabaki nacho
Kwa kifupi sababu zipo nyingi sana ila kwa sababu mmeshagundua ana maambukizi mna jukumu la kuhakikisha hanyanyapaliwi kwa namna yeyote ile,aanze kuhudhuria kiliniki na kupata ushauri kadri iwezekanavyo,hakikisheni haelewi kama lile n ttz,bali ni hali tu ya kawaida katika maisha mkizingatia ushauri wa taalamu ataishi umri mrefu mpk mtasahau kama alishawahi kuambukizwa HIV.
 
Hivi vitu vyenye ncha kali vikitumika Na mtu ambae ni + alafu kikakaa labda hata masaa mawili je mtu ambae sio + akitumia anaweza pata maambukizi?

Napata mashaka sana na hizi vifaa vya masaloon jamani tutapona kweli?
hili swali huwa najiulizaga hata mm kwakwwli mwenye majibu atupatie
 
nashukur sana.
Sasa mmi nina ndugu yangu nimempa elim amenielewa sasa ila nikwamba ameishaanza kutumia ARVs kwahiyo nifanyeje ili aziache maana madhara yake ni makubwa yatakayo mpata.
ushaur wako tafadhar..
 
pole mkuu, aanze clinic tu.
Miaka 9 kwa sasa ni mkubwa huyo, wanajifunza mengi mitaani, kwa marafiki na shuleni, na njia za kupata ni nyingi sana, ukiachilia mbali ngono pekee.
Kama hauwezi kumpeleleza mpeleke wa wataalamu wa afya washauri, wakae naye kuongea ma kumshauri.
 
Wakubwa tupeane formula basi ya kutumia hiyo Habbat soda. Kwanza ikoje hiyo soda??
Habbat soda iko ya mafuta na ya unga huwa inapatikana maduka ya dawa za asili utazipata ni nzuri mnoo na zinasaidia haswaa asikuambie mtu tunaangamia kwa kukosa maarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…