Deception lazma ahusike hapa maana alituambia hiv is fake.
Hapa nazidi kuthibitisha uwezo mdogo wa namna ya kufikiri kwa wachangiaji hoja,yaani hata likitokea jambo linalowalazimisha watu wafikiri kwa namna tofauti kuhusu suala la HIV/AIDS,watu wanabaki wameganda katika mtazamo uleule,mawazo mgando.Hawawezi kujiuliza kwa namna nyingine.
Deception is always right aliposema kwamba HIV/AIDS is fake,ukweli unajionesha wazi na utaendelea kujionesha hata kama watu hawataki kuona.
Sasa huyo ni mtoto,lakini ikitokea baba positive lakini mama negative and vice versa,watasema mmoja amepata maambukizi nje ya ndoa,hawajiulizi kwanini mmoja hajamwakiza mwenza,na hata wakijiuliza hawatakaribia jawabu sahihi,watajiongoza kwenye njia ileile ya kufikiri waliyotengenezewa na wamiliki wa mradi wa HIV/AIDS.
"watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
USHAURI KWA MLETA MADA:Usikubali mtoto apewe ARVs,tibu matatizo yake halisi,mpe chakula bora,mpe maji safi na salama.Hakika atapona na atakuwa na afya njema kabisa,hataugua huo upuuzi uitwao HIV/AIDS.