errymars
Member
- Dec 17, 2019
- 98
- 285
Mwanariadha mlemavu Alex Roca Campillo, ambaye ana ulemavu kutokana na kupooza kwa ubongo, aliweka historia kwa kukamilisha mbio za marathon za Barcelona katika muda wa chini ya saa sita.
Campillo anaaminika kuwa mtu wa kwanza mwenye kiwango chake cha ulemavu kufikia mafanikio haya. Kabla ya hatua hii muhimu, Campillo alishiriki katika triathlons tano, marathoni nne na mbio zingine, akionyesha juhudi zote zilizozaa matunda
Hakika huyu ni Shujaa kabisa [emoji1376]
Campillo anaaminika kuwa mtu wa kwanza mwenye kiwango chake cha ulemavu kufikia mafanikio haya. Kabla ya hatua hii muhimu, Campillo alishiriki katika triathlons tano, marathoni nne na mbio zingine, akionyesha juhudi zote zilizozaa matunda
Hakika huyu ni Shujaa kabisa [emoji1376]