Melubo Letema
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 416
- 414
Tuendelee kujifunza, na kuwabadilisha watu Fikra zao, zihamie Kwenye Riadha.Hii ni habari njema sana kwa Taifa la Tanzania hasa wizara ya michezo kwa ujumla.
HONGERA SANA ALPHONCE FELIX SIMBU.
Sema ndio hivyo tuna selikali ya Ajabu ambayo imekikita zaidi kwenye propaganda imeamua kiwageka waganzania Kupitia simba na Yanga.
Watanzania wanachokiwaza wao ni simba na yanga.
Wizara haina habari na Riadha wao ni simba na Yanga Tu.
Nji yetu masikini tunashindwa hata kuhamasisha michezo mingine ni simba na Yanga tu.
Ukiingia hapa Jf ni kujaza seva ni simba na Yanga tu
Hongera Sana ndugu Alphonce Felix Simba 🦁View attachment 2956191
Mwanariadha wa Kimataifa wa Tanzania, Alphonce Felix Simbu ashinda medali ya Shaba kwa kushika nafasi ya Tatu , kwa muda wa (2:07:55) kwenye Mashindano ya DAEGU MARATHON yaliyofanyika usiku wa leo 7/04/2024 huko Korea Kusini.
Mshindi alikuwa Stephen Kiprop ; 2:07:04 na pili alikuwa Kennedy mutai ; 2:07:40 na tatu Alphonce Simbu ; 2:07:55.
Simbu sio SimbaHongera Sana ndugu Alphonce Felix Simba 🦁
Asante 🎉,hapa nilipo tayari nipo tungi mbayaNi
Simbu sio Simba