Mwanariadha Magdalena Shauri Aangukia Pua, Tokyo Japan

Melubo Letema

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
416
Reaction score
414

Mwanariadha Magdalena Shauri ameangukia pua baada ya kushika nafasi ya 11, kwa muda wa 2:32:58 huko Tokyo Japan, Jana tarehe 3/3/2024.

Hata hivyo, Magdalena ndiye Mwanariadha pekee kwa sasa wa kike aliyefuzu kushiriki mashindano ya Olimpiki Jijini Paris, Ufaransa mwezi julai, baada ya kupata muda mzuri mwaka jana septemba kwa muda wa 2:18:41 na kushika nafasi ya Tatu.

Imekuwa ngumu kwa wanariadha wengi, akiwemo Eliud Kipchoge aliyeshika nafasi ya 10 huku mkenya mwenzake Benson Kipruto akishinda mbio hizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…