Mwanasaikolojia: Wale wote wanaoona aibu ' Kujamba ' mbele ya Kadamnasi ya Watu au Kikundi cha Watu wana Ugonjwa mbaya wa Akili

Mwanasaikolojia: Wale wote wanaoona aibu ' Kujamba ' mbele ya Kadamnasi ya Watu au Kikundi cha Watu wana Ugonjwa mbaya wa Akili

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tendo la Kujamba halipashwi kuwa au kuonekana ni la aibu kwani ni sehemu ya Kuutengeneza mfumo wako mzima wa Mwili ili ukae vyema hivyo ukimwona Binadamu anaona aibu / haya Kujamba mbele za Watu iwe kwa Makusudi au Bahati mbaya jua huyo ana tatizo kubwa la akili na anahitaji tiba ya haraka sana.

Wenzetu Wazungu na Wachina hata Wajapani katika hili wametuacha mbali mno na ndiyo maana unaweza kuwaona hawa Watu wakijamba popote pale hasa ' Kitu ' kikija na wengi wao wakishajamba tu utawaona ama wanafurahia kabisa tofauti na Sisi Waswahili ambapo Mmoja akijamba tu anajishtukia kabisa na akiona mnazidi Kumuangalia au Kumuhisi basi na Yeye ili Kuwazugeni mtamwona anamtafuta wa Kumuangushia Jumba bovu kwa Kumsingizia wakati kumbe Kiafya Kitendo cha Kujamba ni Kizuri mno.

Sasa ni imani yangu kubwa kabisa kwamba baada ya Utaalam huu wa Mwanasaikolojia kuanzia sasa Watanzania / Waswahili mtakuwa huru ama Kujamba au Kujambiana popote pale na wakati wowote na hili zoezi likianzia Kesho pale ' Feri ' kwa Wageni waalikwa na wala Viapo litakuwa ni jambo jema sana kisha na Sisi wengine ambao tutakuwa katika ' Madaladala ' na Sisi tutafanya yetu na hata huko Mashuleni na Vyuoni si vibaya hili likafanyika bila Kificho au Kuoneana aibu kwani si dhambi bali ni Kitendo chema tu.

Wauza Mayai ya Kuchemsha wote mnaotembeza mitaani nchini Tanzania tafadhali 10% yangu ya kile ' Trei ' mtakalouza msinikose.

Nawasilisha.
 
Tendo la Kujamba halipashwi kuwa au kuonekana ni la aibu kwani ni sehemu ya Kuutengeneza mfumo wako mzima wa Mwili ili ukae vyema hivyo ukimwona Binadamu anaona aibu / haya Kujamba mbele za Watu iwe kwa Makusudi au Bahati mbaya jua huyo ana tatizo kubwa la akili na anahitaji tiba ya haraka sana.

Wenzetu Wazungu na Wachina hata Wajapani katika hili wametuacha mbali mno na ndiyo maana unaweza kuwaona hawa Watu wakijamba popote pale hasa ' Kitu ' kikija na wengi wao wakishajamba tu utawaona ama wanafurahia kabisa tofauti na Sisi Waswahili ambapo Mmoja akijamba tu anajishtukia kabisa na akiona mnazidi Kumuangalia au Kumuhisi basi na Yeye ili Kuwazugeni mtamwona anamtafuta wa Kumuangushia Jumba bovu kwa Kumsingizia wakati kumbe Kiafya Kitendo cha Kujamba ni Kizuri mno.

Sasa ni imani yangu kubwa kabisa kwamba baada ya Utaalam huu wa Mwanasaikolojia kuanzia sasa Watanzania / Waswahili mtakuwa huru ama Kujamba au Kujambiana popote pale na wakati wowote na hili zoezi likianzia Kesho pale ' Feri ' kwa Wageni waalikwa na wala Viapo litakuwa ni jambo jema sana kisha na Sisi wengine ambao tutakuwa katika ' Madaladala ' na Sisi tutafanya yetu na hata huko Mashuleni na Vyuoni si vibaya hili likafanyika bila Kificho au Kuoneana aibu kwani si dhambi bali ni Kitendo chema tu.

Wauza Mayai ya Kuchemsha wote mnaotembeza mitaani nchini Tanzania tafadhali 10% yangu ya kile ' Trei ' mtakalouza msinikose.

Nawasilisha.

Bwana Gentamycine sijui ni nini kimekutuma kuchagua kujamba tu na unaacha kunya,kutoka jasho na kukojoa?

Maana zote ni human bodly wastes!

Na kiafya the other two are crucial than kujamba!

Kwahiyo kwa hoja yako watu pia wanye na kukojoa hadharani tu maana kiafya ni bora sana?

I suggest you go back to the drawing board!
 
Tendo la Kujamba halipashwi kuwa au kuonekana ni la aibu kwani ni sehemu ya Kuutengeneza mfumo wako mzima wa Mwili ili ukae vyema hivyo ukimwona Binadamu anaona aibu / haya Kujamba mbele za Watu iwe kwa Makusudi au Bahati mbaya jua huyo ana tatizo kubwa la akili na anahitaji tiba ya haraka sana.

Wenzetu Wazungu na Wachina hata Wajapani katika hili wametuacha mbali mno na ndiyo maana unaweza kuwaona hawa Watu wakijamba popote pale hasa ' Kitu ' kikija na wengi wao wakishajamba tu utawaona ama wanafurahia kabisa tofauti na Sisi Waswahili ambapo Mmoja akijamba tu anajishtukia kabisa na akiona mnazidi Kumuangalia au Kumuhisi basi na Yeye ili Kuwazugeni mtamwona anamtafuta wa Kumuangushia Jumba bovu kwa Kumsingizia wakati kumbe Kiafya Kitendo cha Kujamba ni Kizuri mno.

Sasa ni imani yangu kubwa kabisa kwamba baada ya Utaalam huu wa Mwanasaikolojia kuanzia sasa Watanzania / Waswahili mtakuwa huru ama Kujamba au Kujambiana popote pale na wakati wowote na hili zoezi likianzia Kesho pale ' Feri ' kwa Wageni waalikwa na wala Viapo litakuwa ni jambo jema sana kisha na Sisi wengine ambao tutakuwa katika ' Madaladala ' na Sisi tutafanya yetu na hata huko Mashuleni na Vyuoni si vibaya hili likafanyika bila Kificho au Kuoneana aibu kwani si dhambi bali ni Kitendo chema tu.

Wauza Mayai ya Kuchemsha wote mnaotembeza mitaani nchini Tanzania tafadhali 10% yangu ya kile ' Trei ' mtakalouza msinikose.

Nawasilisha.
We! Masihala hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom