ndo maana watu wanasema kuna tofauti ndogo sana kimtazamo, kiakili na uwezo wa kupambanua issues kati ya mhitimu wa kidato cha sita anayefuatilia issues na mhitimu wa shahada ya kwanza, kadhalika mwenye shahada ya kwanza na ya uzamili ( kutoka kwenye vyuo vingi vya hapa bongo). Fuatilia hasa kwa wanafunzi toka vyuo hivi: Saut, tumaini, tia, mzumbe, ifm, cbe na hata udsm.
Tatizo la hawa watoto wetu ni kuwa wakishamaliza shule, basi ndo mwisho wa kusoma, wao ni kuangaalia chnnl o, eatv, clouds, facebook na kusoma magazeti ya udaku. Maarifa mengi ya namna ulimwengu unavyokwenda hayapo kwenye lecturer rooms ni lazima uwe unafuatilia current news ndo unaweza kusimama mahali hata ukihojiwa utazungumza la maana.
Shame kwa huyo mwanasheria, wish tungejua jina lake........
......................................