real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,299
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Githu Muigai ameonya kuwa Raila Odinga akijaribu kujiapisha tarehe 12 kama alivyopanga atashtakiwa kwa kosa ya uhaini ambalo adhabu yake ni kifo
Amesema kuapishwa huko kutakuwa ni kinyume cha Katiba ya Kenya kwa sababu tayari kuna Rais aliyekwisha apishwa Novemba 28.
Kumuapisha mtu yeyeote ambaye hajatangazwa tume ya uchaguzi kuwa ameshinda uchaguzi na ambao hajasimiwa na Jaji Mkuu ni kinyume na Katiba na Uhaini wa hali ya juu
Pia mwanasheria huyo ameonya Kaunti 11 zilizopitisha mjadala wa Bunge la Watu na kusema wamevunja sheria na wanatumia vibaya pesa za walipa kodi
Wakati huo huo Raila Odinga amepuuzia wito wa Marekani wa kumtaka asijiapishe na kusema masuala ya Kenya yatasuluhishwa na Wakenya wenyewe
Ameendelea kusema wanaweza kuwashauri lakini sio kuwaambia kuwa wanavunja katiba
Na kusema watu walipokuwa wanauawa na polisi hakuna balozi aliyejitokeza kulaani mauaji hayo
=============================================
Attorney General Githu Muigai has said that the controversial swearing in of opposition leader Raila Odinga slated for Tuesday, December 12 amounts to high treason.
Speaking at Sheria House on Thursday, the AG warned that persons that will facilitate or be involved in the event will face the full wrath of the law.
“The constitution of Kenya provides in clear terms in Article 2 (2) that no person may claim state authority except as authorised by the constitution. A swearing-in of any other person not declared to have lawfully won an election by IEBC and administered by the Chief Justice is high treason in respect of the person involved and any other facilitating that process,” said the AG
Muigai cited the Constitution which prescribes death as the punishment for treason.
“What is the punishment for high treason? It is death,” he said.
He also dismissed claims by the National Super Alliance (NASA) that formation of the People’s Assemblies is legal.
“The People’s Assembly is an institution totally unknown to the constitution of Kenya and totally unknown to the County Governments Act. Parliament has not delegated any such power and the consequence for that is that those institutions are unconstitutional,illegal and are null and void,” said the Attorney General.
He added that counties that have passed the People’s Assembly motion should be ready to be held to account.
Source: Citizen Tv
Amesema kuapishwa huko kutakuwa ni kinyume cha Katiba ya Kenya kwa sababu tayari kuna Rais aliyekwisha apishwa Novemba 28.
Kumuapisha mtu yeyeote ambaye hajatangazwa tume ya uchaguzi kuwa ameshinda uchaguzi na ambao hajasimiwa na Jaji Mkuu ni kinyume na Katiba na Uhaini wa hali ya juu
Pia mwanasheria huyo ameonya Kaunti 11 zilizopitisha mjadala wa Bunge la Watu na kusema wamevunja sheria na wanatumia vibaya pesa za walipa kodi
Wakati huo huo Raila Odinga amepuuzia wito wa Marekani wa kumtaka asijiapishe na kusema masuala ya Kenya yatasuluhishwa na Wakenya wenyewe
Ameendelea kusema wanaweza kuwashauri lakini sio kuwaambia kuwa wanavunja katiba
Na kusema watu walipokuwa wanauawa na polisi hakuna balozi aliyejitokeza kulaani mauaji hayo
=============================================
Attorney General Githu Muigai has said that the controversial swearing in of opposition leader Raila Odinga slated for Tuesday, December 12 amounts to high treason.
Speaking at Sheria House on Thursday, the AG warned that persons that will facilitate or be involved in the event will face the full wrath of the law.
“The constitution of Kenya provides in clear terms in Article 2 (2) that no person may claim state authority except as authorised by the constitution. A swearing-in of any other person not declared to have lawfully won an election by IEBC and administered by the Chief Justice is high treason in respect of the person involved and any other facilitating that process,” said the AG
Muigai cited the Constitution which prescribes death as the punishment for treason.
“What is the punishment for high treason? It is death,” he said.
He also dismissed claims by the National Super Alliance (NASA) that formation of the People’s Assemblies is legal.
“The People’s Assembly is an institution totally unknown to the constitution of Kenya and totally unknown to the County Governments Act. Parliament has not delegated any such power and the consequence for that is that those institutions are unconstitutional,illegal and are null and void,” said the Attorney General.
He added that counties that have passed the People’s Assembly motion should be ready to be held to account.
Source: Citizen Tv