Mwanasheria Mkuu msataafu wa Tanzania aisifia katiba ya Kenya

Mwanasheria Mkuu msataafu wa Tanzania aisifia katiba ya Kenya

mfianchi

Platinum Member
Joined
Jul 1, 2009
Posts
11,904
Reaction score
8,371
Mark Bomani,aliyewahi kuwa mwanasheria mkuu wa Tanzania katika kipindi cha Hamza Kassongo kipindi cha Mchakato wa Katiba amesifia katiba ya Kenya.

Akizungumzia kuhusu mchakato wa katiba Tanzania,kwa mfano amezungumzia wabunge kutakuwa mawaziri kama ilivyo kwenye katiba ya Kenya,mahakama ya kadhi kwenye katiba ya Kenya,kiwango cha mawaziri. Kumbe sipo peke yangu ambaye naiona katiba mpya ya Kenya kama moja ya katiba nzuri duniani ,tatizo ni utekelezaji wake. Kuna sehemu nimeandika kua heri tusingepoteza fedha za umma kwa tume ya Warioba. Ni bora tunge -copy & paste -katiba ya Kenya kwani hao waliopewa jukumu akina Warioba wamebadilika mno. Wanafanya kazi kwenye tume kisiasa zaidi.

Kitu kingine nilichopenda katiba ya Kenya ni kuhusu serikali ya majimbo,ukomo wa mamlaka ya uraisi kuteua mawaziri ,pia raisi wetu anateua kila kitu ni utitiri kama alivyosema Mzee Bomani,sasa tukiwa na raisi ''dhaifu''ateteua utitiri wa 'wadhaifu' pia.
 
Hata iweje hatutaruhusu mahakama ya kadhi TZ ni bora hiyo katiba isiwepo, nimemshangaa sana mwanasheria mkuu na waziri mkuu wanakubali kwenye mahakama zetu wazee wa baraza wawepo waislamu kwa ajili ya kusaidia kesi za waislamu, hivi ni waislamu tu Tanzania hii ndo wanashtaki na kuishitakiwa? wakristo, wabudha na wapagani nawo wawekewe wazee wa baraza basi. kweli hawa viongozi wetu wamefikisha hili taifa mahali pabaya. eendeleeni kuona wakristo ni wajinga, kwa taarifa yenu sisi siyo wajinga ni uvumilivu tu na sasa uvumilivu umefika mwisho. Neno la Mungu kwenye Biblia linasema "mnaangamia kwa kukosa maarifa" sasa sisi hatutakubali tuangamie tuna maarifa ya kutosha. Mungu yu pamoja nasi. AMEN
 
Hata iweje hatutaruhusu mahakama ya kadhi TZ ni bora hiyo katiba isiwepo, nimemshangaa sana mwanasheria mkuu na waziri mkuu wanakubali kwenye mahakama zetu wazee wa baraza wawepo waislamu kwa ajili ya kusaidia kesi za waislamu, hivi ni waislamu tu Tanzania hii ndo wanashtaki na kuishitakiwa? wakristo, wabudha na wapagani nawo wawekewe wazee wa baraza basi. kweli hawa viongozi wetu wamefikisha hili taifa mahali pabaya. eendeleeni kuona wakristo ni wajinga, kwa taarifa yenu sisi siyo wajinga ni uvumilivu tu na sasa uvumilivu umefika mwisho. Neno la Mungu kwenye Biblia linasema "mnaangamia kwa kukosa maarifa" sasa sisi hatutakubali tuangamie tuna maarifa ya kutosha. Mungu yu pamoja nasi. AMEN

Jamani udini utawaua nyie!....sasa nani kasema wakristo ni wajinga? Kwa namna hii mada itapindi haraka upesi hapa.
 
Hata iweje hatutaruhusu mahakama ya kadhi TZ ni bora hiyo katiba isiwepo, nimemshangaa sana mwanasheria mkuu na waziri mkuu wanakubali kwenye mahakama zetu wazee wa baraza wawepo waislamu kwa ajili ya kusaidia kesi za waislamu, hivi ni waislamu tu Tanzania hii ndo wanashtaki na kuishitakiwa? wakristo, wabudha na wapagani nawo wawekewe wazee wa baraza basi. kweli hawa viongozi wetu wamefikisha hili taifa mahali pabaya. eendeleeni kuona wakristo ni wajinga, kwa taarifa yenu sisi siyo wajinga ni uvumilivu tu na sasa uvumilivu umefika mwisho. Neno la Mungu kwenye Biblia linasema "mnaangamia kwa kukosa maarifa" sasa sisi hatutakubali tuangamie tuna maarifa ya kutosha. Mungu yu pamoja nasi. AMEN
Mi sikumshangaa Mzee Mark Bomani mwelekeo wake kuhusu mahakama ya Kadhi,mke wake ambaye ni dada wa akina Mwapachu ni muislamu sasa kaegemea upande wa mamsap,nae haoni tatizo la mahakama ya kadhi kasahau kwanini Nyerere aliifuta
 
kuna tofauti gani kati ya ugavi wa mamlaka na serikali ya majimbo kama inavojulikana TZ.
 
kuna tofauti gani kati ya ugavi wa mamlaka na serikali ya majimbo kama inavojulikana TZ.

Most likely the same thing but hapa the bone of contention lies in including the Kadhi's courts in the
Constitution.

Hio wa-Tanzania hawataki kusikia!
 
Most likely the same thing but hapa the bone of contention lies in including the Kadhi's courts in the
Constitution.

Hio wa-Tanzania hawataki kusikia!

Kuwapa Kadhi courts mamlaka inawauma nini? Kama wewe ni mkristo kadhi courts haitatoa hukumu yoyote juu yako kwa nini uiogope?
 
Kuwapa Kadhi courts mamlaka inawauma nini? Kama wewe ni mkristo kadhi courts haitatoa hukumu yoyote juu yako kwa nini uiogope?
Dhuks,

wabongo watakulamba kichwa wakisikia huu msemo wako mazee...

Kumbuka nimesema hawataki kabisa kusikia hio kitu katika katiba ya nchi...and they have a thousand
and one reasons for it. If we start outlining them then this thread will be turned into a 'Mahakama ya kadhi'
verses a 'no-Mahakama ya Kadhi debate' instead of how Tz can benefit from KE's new constitution.

#jussayin
 
Last edited by a moderator:
Most likely the same thing but hapa the bone of contention lies in including the Kadhi's courts in the
Constitution.

Hio wa-Tanzania hawataki kusikia!

Korti ya kadhi kenya, there was a time they were demanding full autonomy in prosecuting using the islamic laws, how has the risk of sharia law being imposed on innocent citizens been mitigated. For TZ they have to involve it to avoid future unrest
 
Korti ya kadhi kenya, there was a time they were demanding full autonomy in prosecuting using the islamic laws, how has the risk of sharia law being imposed on innocent citizens been mitigated. For TZ they have to involve it to avoid future unrest

I hear you mazee.

The fear of introduction of Sharia Law is the main impediment.

...and then there is this argument that why should my tax money be used to fund Kadhi's court and
yet I'm not a Muslim?

...then there are historical injustices committed by Arab Muslims on bantu folks during their early arrival
and subsequent settlement at the East African coast.

I love the fact that KE reached a consensus on the matter and sober heads prevailed.
 
Kuwapa Kadhi courts mamlaka inawauma nini? Kama wewe ni mkristo kadhi courts haitatoa hukumu yoyote juu yako kwa nini uiogope?
tunaogopa imani yenu kugharimiwa na fedha zetu, anzisheni mahakama zenu za kadhi kwa fedha zenu na mkishindwana huko mje kwenye mfumo wetu wa sheria, kama mnapenda imani yenu malizaneni hukohuko kama mmeshindwa bac hampendi imani yenu.
 
tunaogopa imani yenu kugharimiwa na fedha zetu, anzisheni mahakama zenu za kadhi kwa fedha zenu na mkishindwana huko mje kwenye mfumo wetu wa sheria, kama mnapenda imani yenu malizaneni hukohuko kama mmeshindwa bac hampendi imani yenu.


Mahakama za kadhi zimekuwapo kenya tangu wakati wa mbeberu, zingekuwa na madhara yoyote kwa imani ya wakristo yangekuwa yamekolea kwa sasa.
 
Mahakama za kadhi zimekuwapo kenya tangu wakati wa mbeberu, zingekuwa na madhara yoyote kwa imani ya wakristo yangekuwa yamekolea kwa sasa.

Now you can see the answer you got up there.
 
Back
Top Bottom