Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,897
- 6,925
Mwanasheria mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Othman Masoud ameponda mfumo wa serikali mbili kuwa ni ghali na inawagharimu zaidi Wazanzibar kuliko wa bara ikiwepo usumbufu wa kushinda wanafuatilia masuala muhimu bara.
Kitendo cha serikali ya Tanganyika kujificha ndani ya serikali ya Muungano si uwazi.
Kwa habari zaidi soma Habari Leo Jumapili