Mwanasheria mkuu wa serikali: Tungekuwa na wanasheria weledi habeas corpus ingetupeka mahakamani

Mwanasheria mkuu wa serikali: Tungekuwa na wanasheria weledi habeas corpus ingetupeka mahakamani

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
CHADEMA na wanaharakati wengine wamekuwa wanadai kupotea kwa watu kadhaa. Miongoni mwao wapo wanasheria akiwemo Lissu. Kinachoshangaza ni kuwa wakati sheria zetu zinaruhusu habeas corpus(KILATIN) kwa kiingereza “show me the body.”kuilazimisha serikali itoe maelezo kama upo ushahidi wa kuihusisha serikali.

Lengo la habeas corpus ni kupinga kukamata, kushikiria, kufunga watu kinyume cha sheria. Tuna wanasheria wasio na weledi na wapiga kelele tu
 
Mkuu, mie umenikuna kwenye Kilatini tu. Najifunza atiiii.
 
Acha kuandika mambo usiyoyajua! Habeas corpus ina apply kwa mtu aliyewekwa kizuizini ,kuzuiwa au kushikiliwa mahali bila sababu za wazi.
Sasa unaenda Mahakamani kwa ajili ya nani anayeshikiliwa?!
 
CHADEMA na wanaharakati wengine wamekuwa wanadai kupotea kwa watu kadhaa. Miongoni mwao wapo wanasheria akiwemo Lissu. Kinachoshangaza ni kuwa wakati sheria zetu zinaruhusu habeas corpus(KILATIN) kwa kiingereza “show me the body.”kuilazimisha serikali itoe maelezo kama upo ushahidi wa kuihusisha serikali.

Lengo la habeas corpus ni kupinga kukamata, kushikiria, kufunga watu kinyume cha sheria. Tuna wanasheria wasio na weledi na wapiga kelele tu
Watakutukana!
 
Acha kuandika mambo usiyoyajua! Habeas corpus ina apply kwa mtu aliyewekwa kizuizini ,kuzuiwa au kushikiliwa mahali bila sababu za wazi.
Sasa unaenda Mahakamani kwa ajili ya nani anayeshikiliwa?!
Mkuu soma uongeze maarifa hapo ulipofikia bado
 
Intro. Habeas Corpus is an Act of Parliament, still in force today, which ensures that no one can be imprisoned unlawfully. Literally translated, 'habeas corpus' means 'you may have the body' (if legal procedures are satisfied).





Habeas Corpus is a Latin word meaning which literally means 'to have the body of'. It is an order issued by the court to a person who has detained another person, to produce the body of the latter before it. The court then examines the cause and legality of detention.

Tafsiri ya mwanzilishi wa post haiko sahihi
 
Intro. Habeas Corpus is an Act of Parliament, still in force today, which ensures that no one can be imprisoned unlawfully. Literally translated, 'habeas corpus' means 'you may have the body' (if legal procedures are satisfied).





Habeas Corpus is a Latin word meaning which literally means 'to have the body of'. It is an order issued by the court to a person who has detained another person, to produce the body of the latter before it. The court then examines the cause and legality of detention.

Tafsiri ya mwanzilishi wa post haiko sahihi
Uelewa wako juu ya application of Habeas Corpus umeishia hapo? Real?
 
Back
Top Bottom