saidi kindole
JF-Expert Member
- Sep 21, 2012
- 310
- 792
Mwanasheria Mkuu wa ACT Wazalendo, Omar Said Shaaban ametolea ufafanuzi juu ya Msajili wa Vyama kufuta usajili wa chama.Kupitia akaunti yake ya Twitter amesema haya.
Ufafanuzi: "Kifungu cha 19(3) cha sheria ya Vyama vya Siasa inasema mamlaka ya msajili kufuta usajili wa chama cha siasa hayawezi kutekelezwa ikiwa kipindi kilichobaki kuelekea uchaguzi hakizidi miezi 12."
Ufafanuzi: "Kifungu cha 19(3) cha sheria ya Vyama vya Siasa inasema mamlaka ya msajili kufuta usajili wa chama cha siasa hayawezi kutekelezwa ikiwa kipindi kilichobaki kuelekea uchaguzi hakizidi miezi 12."