Mwanasheria wa serikali analinda katiba iliyomweka madarakani

Candid Scope

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2010
Posts
11,897
Reaction score
6,925
Nimeshangazwa na Kauli ya mwanasheria mkuu wa serikali kupinga mchakacho wa kuwa na katiba mpya, ila anatunga hoja ya kuweka viraka kama ilivyozoeleka kusudi uchakachuaji uendelee. Huku ni kudharau madai ya wananchi kwa ajili ya kulinda maslahi binafsi? Kwa nini serikali inaogopa katiba mpya?
 
Mapokeo ya utawala wa kulindana Tanzania ukiwa kiongozi unatakiwa kutoa kauli inayolinda ajira yako vinginevyo waliokuweka madarakani watakunyofoa
 
Tawi la mti ulilolikalia mwenyewe utalikataje? Unataka uutandike msamba chini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…