Mwanasheria wa Yanga ni tapeli kawadanganya kuwa watapata pointi pamoja na kwamba walihatarisha usalama wa mechi

Mwanasheria wa Yanga ni tapeli kawadanganya kuwa watapata pointi pamoja na kwamba walihatarisha usalama wa mechi

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Kitendo kilichotokea kuonyesha makomandoo wa yanga wana nguvu kuliko polisi,kiliashiria tishio la usalama kwa mechi hiyo kufanyika tarehe 8.

Bodi ya ligi iliamua kuahirisha mechi baada ya kupata taarifa ya afisa usalama aliyeteuliwa pamoja na kamishina wa mechi ya derby.

Mwanasheria wa yanga amewadanganya watapewa pointi 3 za mchekea eti kwa vile walienda uwanjani yaani bila hata waamuzi wa mchezo kuwepo- hii ni maajabu!
Bora wangemwalika Mzee kikwete na Sunday Manara wangeamua vizuri.

Ninyi viongozi wa yanga mlihatarisha usalama wa timu mgeni halafu mnataka mpigwe faini ya milioni moja na mechi ichezwe katika mazingira yasiyoashiria uwezekano wa kuwepo usalama?

Viongozi wa Simba sasa naona kumbe walikuwa sahihi kwani waliona viashiria vya kuvunjika kwa amani kwa vile hata serikali ilishindwa kuwahakikishia usalama mbele ya watu wachache wanaoitwa mabaunsa wa yanga,vipi Simba nao wangeamua kuomba msaada kwa wanachama wao?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kitendo kilichotokea kuonyesha makomandoo wa yanga wana nguvu kuliko polisi,kiliashiria tishio la usalama kwa mechi hiyo kufanyika tarehe 8.

Bodi ya ligi iliamua kuahirisha mechi baada ya kupata taarifa ya afisa usalama aliyeteuliwa pamoja na kamishina wa mechi ya derby.

Mwanasheria wa yanga amewadanganya watapewa pointi 3 za mchekea eti kwa vile walienda uwanjani yaani bila hata waamuzi wa mchezo kuwepo- hii ni maajabu!
Bora wangemwalika Mzee kikwete na Sunday Manara wangeamua vizuri.

Ninyi viongozi wa yanga mlihatarisha usalama wa timu mgeni halafu mnataka mpigwe faini ya milioni moja na mechi ichezwe katika mazingira yasiyoashiria uwezekano wa kuwepo usalama?

Viongozi wa Simba sasa naona kumbe walikuwa sahihi kwani waliona viashiria vya kuvunjika kwa amani kwa vile hata serikali ilishindwa kuwahakikishia usalama mbele ya watu wachache wanaoitwa mabaunsa wa yanga,vipi Simba nao wangeamua kuomba msaada kwa wanachama wao?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
si mlikimbia wenyewe game nyie? Acheni walio serious na mpira wapewe point. Hamuwezi kutuletea umama alafu mchekewe.

Ripoti inasema hamkufuata taratibu za kuomba kuutumia uwanja. Hivyo, mlikua wavamizi kama wavamizi wengine
 
Simba waliogopa kichapo; wakakimbilia kwa mama.

1741569790882.png
 
Kitendo kilichotokea kuonyesha makomandoo wa yanga wana nguvu kuliko polisi,kiliashiria tishio la usalama kwa mechi hiyo kufanyika tarehe 8.

Bodi ya ligi iliamua kuahirisha mechi baada ya kupata taarifa ya afisa usalama aliyeteuliwa pamoja na kamishina wa mechi ya derby.

Mwanasheria wa yanga amewadanganya watapewa pointi 3 za mchekea eti kwa vile walienda uwanjani yaani bila hata waamuzi wa mchezo kuwepo- hii ni maajabu!
Bora wangemwalika Mzee kikwete na Sunday Manara wangeamua vizuri.

Ninyi viongozi wa yanga mlihatarisha usalama wa timu mgeni halafu mnataka mpigwe faini ya milioni moja na mechi ichezwe katika mazingira yasiyoashiria uwezekano wa kuwepo usalama?

Viongozi wa Simba sasa naona kumbe walikuwa sahihi kwani waliona viashiria vya kuvunjika kwa amani kwa vile hata serikali ilishindwa kuwahakikishia usalama mbele ya watu wachache wanaoitwa mabaunsa wa yanga,vipi Simba nao wangeamua kuomba msaada kwa wanachama wao?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Kweli Tanzania tuna wajinga wengii
 
Kitendo kilichotokea kuonyesha makomandoo wa yanga wana nguvu kuliko polisi,kiliashiria tishio la usalama kwa mechi hiyo kufanyika tarehe 8.

Bodi ya ligi iliamua kuahirisha mechi baada ya kupata taarifa ya afisa usalama aliyeteuliwa pamoja na kamishina wa mechi ya derby.

Mwanasheria wa yanga amewadanganya watapewa pointi 3 za mchekea eti kwa vile walienda uwanjani yaani bila hata waamuzi wa mchezo kuwepo- hii ni maajabu!
Bora wangemwalika Mzee kikwete na Sunday Manara wangeamua vizuri.

Ninyi viongozi wa yanga mlihatarisha usalama wa timu mgeni halafu mnataka mpigwe faini ya milioni moja na mechi ichezwe katika mazingira yasiyoashiria uwezekano wa kuwepo usalama?

Viongozi wa Simba sasa naona kumbe walikuwa sahihi kwani waliona viashiria vya kuvunjika kwa amani kwa vile hata serikali ilishindwa kuwahakikishia usalama mbele ya watu wachache wanaoitwa mabaunsa wa yanga,vipi Simba nao wangeamua kuomba msaada kwa wanachama wao?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Nakushauri uwe unaweka akiba ya maneno..!!
 
si mlikimbia wenyewe game nyie? Acheni walio serious na mpira wapewe point. Hamuwezi kutuletea umama alafu mchekewe.

Ripoti inasema hamkufuata taratibu za kuomba kuutumia uwanja. Hivyo, mlikua wavamizi kama wavamizi wengine
Kuna watu huwa hawana uwezo wa kuelewa taarifa, (kutafsiri taarifa), wanazozisoma ama kuambiwa, kumbe taarifa kama hujaichakata vizuri na kushindwa kuitolea maamuzi kwa Wakati itakusabishia changamoto ama kusababisha changamoto kwa watu wengine

Information when misinterpreted the end result will be uncertainty, uncertainty is catalyzed by information, disaster and people

Tanzania wapumbavu ni wengi Cha ajabu Ndiyo hao wanao tuongoza, upumbavu kwa Tanzania ni kipaji mpumbavu ni mtu aliyebobea kwenye jambo fulani lakini ana mapuuza hatekelezi majukumu yake kwa weledi anajizima data

Tunaishi kwenye jamii ya wajizima data wanao ahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama masilahi binafsi, matokeo yake Ndiyo haya
 
Sasa police Huwa wanapelekwa uwanjani wakafanye nini, kama makomandoo Wana nguvu kiasi hicho?

Ninani mwenye mamlaka ya kutamka hatari za kiusalama nchini?
 
Sasa police Huwa wanapelekwa uwanjani wakafanye nini, kama makomandoo Wana nguvu kiasi hicho?

Ninani mwenye mamlaka ya kutamka hatari za kiusalama nchini?
Simba walikimbia kipigo kwa kusingizia mabounsa wa yanga kumbe pia Simba kwenye mkutano wa maandalizi ya mechi, (MCM), walishiriki meneja wa uwanja na kamishina wa mchezo walikuwepo, kikanuni Ndiyo muda ambao timu mgeni huelezea kusudio la kutumia uwanja kwaajili ya mazoezi kwanini hawakufanya hivyo

Swali fikirishi je Simba na Yanga ni wageni kwenye uwanja wa taifa Simba Ndiyo wenyeji zaidi hivi karibuni walicheza na Azam walitoka sare ya 2-2, kumbe kuna kanuni za Ligi zipo kwanini Simba wanaziruka kanuni

You can not fool people all the time
 
si mlikimbia wenyewe game nyie? Acheni walio serious na mpira wapewe point. Hamuwezi kutuletea umama alafu mchekewe.

Ripoti inasema hamkufuata taratibu za kuomba kuutumia uwanja. Hivyo, mlikua wavamizi kama wavamizi wengine
KWISHA KAZI
 
Hata chuo alichosoma huyu jamaa hakiko salama kama kitaendelea kutokuchukua hatua. Degree ya huyu jamaa itakuwa walimpelekea mtaani huko walikomuokota bila kumpa abc za Sheria.

No wonder mzee Magoma anaonekana prof wa Sheria pale yanga anavyowageuza kama magimbi.
 
Simba walikimbia kipigo kwa kusingizia mabounsa wa yanga kumbe pia Simba kwenye mkutano wa maandalizi ya mechi, (MCM), walishiriki meneja wa uwanja na kamishina wa mchezo walikuwepo, kikanuni Ndiyo muda ambao timu mgeni huelezea kusudio la kutumia uwanja kwaajili ya mazoezi kwanini hawakufanya hivyo

Swali fikirishi je Simba na Yanga ni wageni kwenye uwanja wa taifa kumbe kuna kanuni za Ligi zipo kwanini Simba wanaziruka kanuni

You can not fool people all the time
Propaganda hazirawasaidia njooni uwanjani tucheze mpira hakuna pointi za mezani.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom