josam
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 2,252
- 1,041
Ndg,
Kwa mtu mwingine yeyote anayeweza kunisaidia,
Katika sheria za Tanzania, hususani mifugo, kuna kipengele kinacho husiana na ukadiliaji (ukubwa na thamani) ya marisho?
Ikibidi nitahitaji mwanasheria wa maswala ya mifugo upande wa ukadiliaji wa thamani ya marisho.
Karibuni sana kwa msaada wenu,
Josam.
Kwa mtu mwingine yeyote anayeweza kunisaidia,
Katika sheria za Tanzania, hususani mifugo, kuna kipengele kinacho husiana na ukadiliaji (ukubwa na thamani) ya marisho?
Ikibidi nitahitaji mwanasheria wa maswala ya mifugo upande wa ukadiliaji wa thamani ya marisho.
Karibuni sana kwa msaada wenu,
Josam.