Mwanasheria / Wakili anahitajika

josam

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2011
Posts
2,252
Reaction score
1,041
Ndg,

Kwa mtu mwingine yeyote anayeweza kunisaidia,
Katika sheria za Tanzania, hususani mifugo, kuna kipengele kinacho husiana na ukadiliaji (ukubwa na thamani) ya marisho?

Ikibidi nitahitaji mwanasheria wa maswala ya mifugo upande wa ukadiliaji wa thamani ya marisho.

Karibuni sana kwa msaada wenu,
Josam.
 
Masikini tunapata shida sana linapokuja suala la msaada kisheria

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Masikini tunapata shida sana linapokuja suala la msaada kisheria

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Tehe.... mandwa, kazi tunayo. Mpaka leo, katika Watanzania takribani millioni 20 wenye umri zaidi ya miaka 18, hakuna aliye jitokeza kutoa shauri. Je, watu wenye taaluma kama hiyo hatunao kaka jamii? mhhh!
 
Last edited by a moderator:
Hawa watu huwa hawatoi ushauri wowote bure,labda toa dau ndo watajitokeza lkn bila dau ni ngumu kuwapata
 
Ni kweli ushauri huo unaweza pewa lakini unalipiwa sababu ni profession za watu hizo
 
Tehe.... mandwa, kazi tunayo. Mpaka leo, katika Watanzania takribani millioni 20 wenye umri zaidi ya miaka 18, hakuna aliye jitokeza kutoa shauri. Je, watu wenye taaluma kama hiyo hatunao kaka jamii? mhhh!
josam, ushauri hurolewa sana tu. Hapa tatizo umesema unahitaji wakili/mwanasheri, kwenye maelezo unataka ushauri kuhusu makadilio ya malisho toka kwa mwanasheria wa mifugo. Hapo hakuna mwanasheria atakujibu kiusahii, vinginevyo uongezee maelezo mazuri zaidi. Hata hivyo, kwa nilivyokuelewa, hutapata mwanasheria wa mifugo au malisho. hata tanzania hatuna kitu kama hicho. cha msingi nyoosha maelezo, upo? mandwa
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…