Mwanasiasa anajadiji kuadhibu Madaktari kwa kutibu wagonjwa katika vituo zaidi ya kimoja kweli? Kwanini tumekuwa na viongozi wanaowaza kuadhibu tu?

Mwanasiasa anajadiji kuadhibu Madaktari kwa kutibu wagonjwa katika vituo zaidi ya kimoja kweli? Kwanini tumekuwa na viongozi wanaowaza kuadhibu tu?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Yapo mambo yameshawekwa wazi kwenye taratibu za ajira. Kila mfanyakazi ana masaa ya kazi na baada ya muda huo yupo huru kufanya kazi zake.

Tanzania tuna upungufu wa madaktari bingwa. Wanataaluma ya udaktari wa binadamu wameweka utaratibu wao wakusaidiana kuokoa maisha

Mfumo wa afya wa nchi umejengwa kuhudumia wagonjwa mchana na kama kada nyingine za huduma. Hospitali hata wakati mwingine za rufaa hazina huduma za usiku zinazolingana na mchana.

Hali hii imetengenezwa ombwe kubwa la wagonjwa wa usiku kukosa huduma. Lakini pia weekend nchni kwetu hakuna huduma za afya zinazofanana na week days? Means wagonjwa wengi wa usiku na weekend wanalazimika kuokoa maisha yao kupitia private hospitals

Leo Mhe. Waziri badala aache utaratibu wa maafisa utumishi wa kushughulika na madakta wanaokiuka masharti ya ajira yeye anakwenda kudhibiti wale wanaomtii masharti ya kazi na wakimaliza wakaenda kutoa huduma kwingine wawajibishwe.

Ukiangalia anasimamia sheria gani hakuna , ila ametamka bila kujali kwamba hawa watu hata wakifanya kazi masaa 24 bila kulala wanachofanya nikuokoa maisha ya wananchi wasioweza kwenda kutibiwa VIP .

Nadhani Waziri anawajibika kuomba radhi kwa umma lakini pia anawajibika sasa KUANGALIA NAMNA HUDUMA ZA USIKU NA WEEKEND ZINAVYOWEZA KUBORESHWA KWANI UGONJWA HAUNA MCHANA WALA WEEKEND. NA NAFSI ILIYOPOTEA WEEKEND AU USIKU KWA KUKOSA HUDUMA IMEONDOKA HAINA SPEAR.
 
Afya ya akili imekua changamoto sana mkuu, hata usishangae
 
Kuondoa utata,wawaongezee mishahara/marupurupu ili waridhike.Daktari hana muda wa kufuga kuku na kulima bustani achilia mbali kushiriki vicoba.Simple tu.
 
Unaweza kua na kiongozi wa wizara mwenye utindio wa ubongo, akikosa kazi za kufanya anajiropokea na kujamba muda wote, kama yeye anafuata utaratibu Kwa nini asishauri katiba ibadilike na abakie na ubunge au uwaziri peke yake, na
 
Unaweza kua na kiongozi wa wizara mwenye utindio wa ubongo, akikosa kazi za kufanya anajiropokea na kujamba muda wote, kama yeye anafuata utaratibu Kwa nini asishauri katiba ibadilike na abakie na ubunge au uwaziri peke yake, na
haaa

na yeye ni Waziri, na Bado ni Mbunge..
na haoni kama hilo ni tatizo... la kufanyiwa mabadiliko
Swali la kijinga halafu nje ya uzi;Hivi mtu mmoja akiwa na kofia-mbili kiuongozi,anazivaa zote zinaangalia mbele au moja inaangalia mbele moja inaangalia nyuma?Au kila moja inaangalia sikio moja?🤔🤔🤔🤔
 
Just saying!

What if wangebaini kwamba madhara husika ni makubwa kuliko manufaa?

Nadhani tuamini kwanza kwamba serikali imefanya homweki yake mujarabu na kupatia hesabu zake.
 
Back
Top Bottom