Man in black
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 361
- 378
Ajib ni balaa anajua soka. Msuva anajua isopokuwa mwoga sana, sasa akikutana na akina Mracos Rojo atakuwa anarukaruka tu..Kwa sasa Ajib na Msuva wanastahili kutoka nje
Hawa mafundi wawili c wakulinganishwa kwasababu kila mmoja anacheza nafasi tofauti na mwenzake, isitoshe kila mmoja alikuwa fundi katka nafasi yake.Ni sawa na kuwalingalinsha Zamoyoni Mogela, Edibilly Jonas Lunyamila na Juma Pondamali Mensah.Zaidi hata ya Zamoyoni Mogella??
Alisoma Shycom ShinyangaLunya wanamjua Waganda tu,
Hapa kwetu hata Kasongo Athumani alikua akimtosha tu huyu Lunya,
Kile Kimguu chake kimoja cha kushoto ukikidhibiti basi Lunya kapuni,
Nakumbuka alikua akisoma Shinyanga nadhani, Yanga walikua wakimfuata mpaka shuleni kumsubiri.
Wachezaji wenye mpira wa anao anao si wa kucheza ulaya Athuman China alienda UK akaonekana kama ZuzuLunyamila ndie mchezaji Bora kupata kutokea hapa Tanganyika
Umechemsha sana sababu hawakuwa na sifa za kucheza nje Mogela aliishia Arabuni tu na Kizota arabuni kwenye ligi za Mafuta tuHaruna Moshi Boban
Kelvin Yondan
Athuman Idd Chuji
Victor Costa
Selemani Matola
Ibrahimu Ajibu
Zamoyoni Mogela
Said Mwamba Kizota
Peter Tino
Boniface Pawassa
Wengi Sana...
huyu jamaa alitamba sana maeneo ya buguruni, nakumbuka alicheza singida united na yanga sema alikuwa mzee wa ndondo sana.Kipanya Malapa