njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
naaam niko hapa napitia mahojiano ya ya mpole na makanjanja ya mwanaspoti mambo ni bull bull
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kuna mahali kasema amesoma degree inawezekana alisoma certificate ya mwaka moja tu baada ya kuhitimu kidato cha nne...Mika mitano tayari kamaliza secondary kamaliza advance na kamaliza chuo?
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Mwandishi amesema nanukuu"wanaomchukulia poa George Mpole wanakosea jamaa ana Shahada ya SUA". Sasa ndio maana watu wameuliza miaka mitano amesoma ordinary level na Advanced Level?Kwani kuna mahali kasema amesoma degree inawezekana alisoma certificate ya mwaka moja tu baada ya kuhitimu kidato cha nne...
Sio 5 ni 3 maana huo mwaka ndio kamalizaMwandishi amesema nanukuu"wanaomchukulia poa George Mpole wanakosea jamaa ana Shahada ya SUA". Sasa ndio maana watu wameuliza miaka mitano amesoma ordinary level na Advanced Level?
Nashukuru Mkuu!D
Sio 5 ni 3 maana huo mwaka ndio kamaliza
Mimi ndiye nimesema kamaliza la saba 2005 na kuhitimu degree 2010?acha hizo mr topoloWewe jamaa hua unatafta habari negative tu
Kwan haiwezekani???? Kama alipitia QT miaka miwili na moja kasomea Advanced inakueajeMwandishi amesema nanukuu"wanaomchukulia poa George Mpole wanakosea jamaa ana Shahada ya SUA". Sasa ndio maana watu wameuliza miaka mitano amesoma ordinary level na Advanced Level?