Umesikia kuna kijana nae ametokewa na Bikira Maria amejibu mapigo ya babu Loliondo
Fidel bana uko Shinyanga sehemu gani mbona mimi hiyo story sijaisikia na mimi niko hapa Ngokoro majengo???
Mi nipo Kahama hapa
da dena, mbona wamemtangaza sana naye?? ila huyo mchakachuaji tu!!!
Kula 10 kama na wewe bado unayo hiyo kama ya mama wa Yesu
Anatakiwa akachunguzwe akili