Mwanaume aliye tayari kuanza maisha ya ndoa aje

Tupia na kapicha sasa wewe.
 
Check me through this number 0682 338065, I have all the qualifications you need.
 
Nmekidhi vigezo vyote ila cheti cha kuzaliwa cha mwakyembe ndo shida jaman,ngoja nkuchek pm huenda ukanielewa.
 
Shimboni shishe?
 
Me nasubir miss chagga aweke tangazo ntakua wa kwanza [emoji31][emoji31]
 
Nimependa neno lako, awe anajishughulisha!!!!.........kuna maneno siyapendi kusikia kama vile awe na kazi, awe ameajiliwa, hebu naomba na mm niku PM kwa kukusalimia tu maana nina below 30yrs. Naomba pokea PM yangu ya salaam
 
Sasa huyo mtoto kwenye Avatar yako ni wa nani?
Mi nimesanuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…