Tupia na kapicha sasa wewe.Am 28
looking for a man ready to start a family with me sio utani..niko serious
Nimeajiriwa kampuni binafsi,
sina mtoto,
mimi ni mkristo mlutheri
kabila langu mchaga,
mwanaume atakayekuja
awe 33+
mkristo
anajishughulisha
awe so serious na hili swala sio utani
if u think ukoserious just nipm.
Hata trump alipata na sifa hakuwa nazohahahaha kaesma awe na kazi na 33+ we andika barua ya maombi
Shimboni shishe?Am 28
looking for a man ready to start a family with me sio utani..niko serious
Nimeajiriwa kampuni binafsi,
sina mtoto,
mimi ni mkristo mlutheri
kabila langu mchaga,
mwanaume atakayekuja
awe 33+
mkristo
anajishughulisha
awe so serious na hili swala sio utani
if u think ukoserious just nipm.
[emoji4][emoji4]nitakufa kwa presha mwenzako mimi....Aaaa no just joking my love
Hamna Wa kukupiku humu
Mama watoto wangu anayeweza kumchukua labda Asprin tu ila ni swahiba wangu hawezi.Wamekuzidi kete ongeza speed za kufukuzia
Haaa. Haaa. Haaa. Maana jasiri haachi asili.anaogopesha wengine
[emoji1]Haaa. Haaa. Haaa. Maana jasiri haachi asili.
Kumbe yupo kiboko wako eeehMama watoto wangu anayeweza kumchukua labda Asprin tu ila ni swahiba wangu hawezi.
Sema huyu swahiba wangu.Kumbe yupo kiboko wako eeeh
Sawa mkuu si unajua wimbo wa manifongoSema huyu swahiba wangu.
If you can't defeat join them.
uko wapi....na wasifu wako please....bila kusahau age yako,Na mm jaman natafuta MTU Wa kunioa