St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,956
- 5,149
Ni swali ambalo nimejiuliza siku nyingi na bado sijapata jibu,hivi mtoto wa kiume ile pembejeo yake ya haja ndogo inakoma kuongezeka size akiwa na umri gani.Maana kwa kawaida mtoto akizaliwa inakuwa ya kitoto na kadri anavyoendelea kukua nayo inaongezeka,mpaka pale anapopevuka.Sasa kwa upande wangu naona miaka inavyoongezeka na hii pembejeo na yenyewe inaongezeka mpaka imefikia wakati naogopa sasa,naomba msaada tafadhali wakuu hii ni hali ya kawaida au ni kitu kisichokuwa cha kawaida?