Mwanaume asie na gari wala nyumba

Kumbe aliepost ni binti kumbe!! Daaàh napata taabu kuumiza dole langu gumba kumjibu
 
Acha ulimbukeni maisha Ni zaidi ya Gari na nyumba
 
Mimi nina nyumba na gari.familia pia niko nayo.ila nijuacho na nilivyochunguza duniani hapa hakuna kitu kizuri maishani kama AMANI moyoni.na kwa mala nyingi amani hii huletwa na vitu kama uzima wa afya.maelewano mazuri na watu pamoja na huo uhakika wa kulala na kula.unaweza kua na nyumba na gari lakini ukawa unaishi kwa mawazo sana juu ya ugonjwa ulionao,juu ya madeni uliyonayo,juu ya ugomvi na watu uliowadhulumu,na mambo yafananayo na hayo.kwa mimi cha msingi kabisa
1.AMANI

2.UZIMA

3.KULA NA KULALA

4.MJUMUISHO WA KULA NA KULALA V/S ADA YA WATOTO
 
Sidhani kama kuna mtu alizaliwa na gari na nyumba asienavyo siku moja atapata hata huyo alienavyo hakua navyo.
 
Success is the Battle between you and yourself only
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…