Natafuta Mke wa kuoa. Mimi sichagui umri wala umbo wala sura. Natafuta mke wa kuoa. Ukitaka kujua Wasifu wangu ni PM ntakutumia hadi picha. Nipo serious sana kwa hili. Naimani mke wangu wa kufa na kuzikana, yaani wa maisha yupo humu. Sasa basi mke mtarajiwa njoo ukutanishwe na mimi kama alivyopanga Mungu tuwe pamoja.
