Mkuu umechemka, mbona unaficha? Ww utakuwa una VVU au mbaya kishenzi.
Nahisi elimu yako itakuwa la saba wewe. Mimi mwanaume mwenzio ila weka wasifu wako acha kupiga chenga.
Nakuelimisha tu jinsi ya kufanikiw katika jukwaa hili usinirushie mawe.
mimi nina shape na sura naona sikufai
tabia ninayo njema ila wewe unataka asie na shape wala sura na mimi nina shape na sura!Kama kitabia haupo fresh hunifai ndio naangalia zaidi tabia na sio shape na sura.
Kama tabia yako njema nitafute kwenye PM.
Nimerudi ndugu zangu kwa furaha kubwa naweza sema nimepata mwenza toka JF humu. Kwa sasa tunachat tu ila bado hatujaonana ingawa yeye kaiona picha yangu tayari na ameridhika. Mimi bado sijaiona picha yake na anadai kwamba kwa kuwa nimesema sichagui chochote hawezi nitumia hivyo nasubiria tuonane. Ni makubaliano yetu kuwa hili tangazo niliondoe. Naomba Mods m Funge hii topic.
Natafuta Mke wa kuoa. Mimi sichagui umri wala umbo wala sura. Natafuta mke wa kuoa. Ukitaka kujua Wasifu wangu ni PM ntakutumia hadi picha. Nipo serious sana kwa hili. Naimani mke wangu wa kufa na kuzikana, yaani wa maisha yupo humu. Sasa basi mke mtarajiwa njoo ukutanishwe na mimi kama alivyopanga Mungu tuwe pamoja.
hahahahahahaha....ntalala kama "muzungu" leoMkuu unamaanisha nini?.....
View attachment 113168