Mwanaume asiyekwenda jando....

Ngoja nicheke kidogo,
sikujaliwa kuwakutaga,
hivi wapo eeeh?
 
Nitafute nikuonyeshe kwa vitendo, ndio utajua kuna madhara au la mii bado nalitunza govi langu hadi nitimize miaka 40 ndio nitaliondoa.....
 
Jamani nilisahau kuwauliza madoctor.. najua mliojibu vibaya wote si fani yenu
siri katika hili yanini? si makabila yote au mataifa yote wanaingia jando. Nimeuliza kistaarabu tu wajameni.

niliwahi kusikia wanyakyusa wanasem " mweee fyaa kumenya Vifatu kuliko fyaa maganda" vya kuambiwa......
 
Govi aka govinda. Ni kitu kizuri sana kwa mwanaume na ndio maana Mungu alimuumba mwanadamu kwa mfano wake. Kitendo cha kutairi kwa tafsiri yake ni sawa na mtu kuzidisha uume wake. Tunaenenda kinyume na uumbaji wa Mungu, Hivi ni vitendo tunamuuzi mwenyezi Mungu. Mangu kwa nini ulimuumba mwanadamu Govi, kwa sababu alitaka mwanamke apate starehe aliye ipenda aipate.
Unafikiri ile nyama ya mbele ikiwa ndani ya mwanamke ni utamu gani aupatao mwanamke. ile nyama ikiwa ndani inakuwa laini tofauti na mtu aliyetahiriwa. Mtu aliye tahiriwa hampi mwanamke hashki sana maumivu tu.
Mimi govi na huwa nawapagawisha sana warembo, kipimo cha kukumbatiwa kama ruba ni kipimo cha kujivunia ugovi wangu. I proud to be govi, mlio tahiriwa poleni sana
 
Nimeuliza kama kunamadhara yoyote hapo baadae au shida hiyo.

Ina onekana wewe ni wa kule kwetu aisee, amang'ana ghao mona weito!

Hahaaa kwani wewe tayari coz kule kwetu wote wanafanyiwa hahaaaaaa!
Natania tu mpendwa!
Hakuna madhara yoyote bana kuwa na mtu asiye tahiriwa, ili mradi awe msafi na mwaminifu!
 
Asante La Biblicana kwa ushauri!! Nauliza ili nipate mwanga tu ili hata nikifikia wakati wa kuolewa nisiingie kwa hiyo shida.

Kabla hamjafunga ndoa, mtashauriwa kwenda kupima maambukizo ya VVU. Huko moja ya mambo ambayo mtashauriwa ni kuhusu tabia na mambo yanayosababisha maambukizi, mojawapo ikiwa ni govi.
 

Shame on you!

Mungu alikuumba na nywele pia, kucha. Mbona unakata kucha?

Govi ni uchafu na katika dunia iliyostaarabika kujiita GOVI ni kwa vile hapa hatufahamiani lkn naamini huwezi kusimama mtaani kwenu na kujivunia govi kwani unajua umma utakushangaa.

Maambukizi ya Ukimwi kwa upande mwingine yanaambatana na magovi. Hilo govi hufuga bakteria na ndio maana ukiwakagua watoto wanaoelekea balehe utagundua mara nyingi wanaathiriwa na UTI sababu ya magovi. Kwa kifupi hata huyo mwanamke unayeishi naye ni mchafu pia kuvumilia kitu hicho ambacho kinanuka
 

Utunzanji wako tu. Siyo marasta wote wachafu nywele zinanuka. Mimi kila kukicha, nafodoa halafu najisafisha vizuri. na kama ulikuwa ufahamu. Kipindi sisi magovi tunamaliza mshindo, tunapata raha sana kwenye sehemu za nyama za mbeli.
 
Madhara yapo ikiwa huyo mwanaume sio msafi!! Govi linahifadhi nyumba ya kuishi bakteria kama hajui kuliosha! So unaweza pata maradhi dada! Kifupi tukiondoa ishu ya maambukizi! Raha ya tendo la kujaamiana lipo pale pale ! Maufundi yako raha zaidi!!!!
 
Ingawa sijafanya research habari za juu juu ambazo huwa nazipata wanawake wengi wanapoingia room kufanya mavituz mara nyingi wakikuta mwanaume hajatahiriwa huwa wanagoma ku du,sijajua pia sababu inayowafanya wakatae ni nini.
 
 
nakuuliza usiingie shida gani fikiri mbali usifikiri karibu nakusubili unijibu
Mm sielewi mtoa mada alipokosea au kaingia jukwaa silo la u-Doctor
Yeye kauliza Doctor hajawauliza wenye soksi sasa kumshupalia aanze kujibu wakati kauliza haiji
ww mjibu kwa herufi kubwa GOVI nda halifai na asimkubali aliyenaye hata Mkuu wa Mkoa wa Tabora yule mama kasisitiza Wanaume tukayatoe
Mwisho halina starehe yoyote mm nililitoa baada ya balehe, tatizo lake unawahi mapema kushusha hata mlangoni
kwani ile foreskin inabana hata kabla, inabeba uchafu usio lazima,
Abraham aliambiwa na MUNGU watoe watu wako hiyo kitu ili kuwatakasa
Hasara huwezi lionyesha mbele ya Nurse, hata vyoo vya Public kwa wenzio
MUNGU aliongea na Abraham soma Mwanzo 17: 914
MUNGU akaongea na Mose soma Kutoka 12: 48-49 Mwanamume yeyeote asiyetahiriwa asishiriki kamwe ........................
Luka 1:59 Vitabu vyote vianakataa Govinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…