Bachelor OG
JF-Expert Member
- Aug 27, 2022
- 878
- 1,195
Kutana na mtu anaejiita PROSER NOW (ProsperNow) katika mtandao wa X
Ndugu yetu huyu amejipa ukungwi wa kiume lakini maandiko yake ukiyasoma kwa undani zaidi unagundua jinsi alivyo na upeo mdogo wa akili
Mwanzoni nilipoona maandiko yake nikavutiwa nayo lakini baada ya muda nikagundua huyu mtu akili yake haipo sawasawa
Kwanza namna anavyowachora wanawake kama sio binadamu
Pili haoni mapungufu ya wanaume lawama zake zote huzitupia kwa wanawake
Tatu KACHAGUA KUNDI DHAIFU LA KULISHAMBULIA AMBALO NI KUNDI LA SINGLE MOTHER
Kinachoshangaza zaidi ni namna ambavyo watu wanamsapoti kwenye comment zake kitu ambacho ni tofauti na uhalisia mtaani
Nahisi ni mtu ambae amelelewa na single mother au ameshawai kukataliwa na single mother
Maoni yangu ni hayo sijui kwenu nyie
Ndugu yetu huyu amejipa ukungwi wa kiume lakini maandiko yake ukiyasoma kwa undani zaidi unagundua jinsi alivyo na upeo mdogo wa akili
Mwanzoni nilipoona maandiko yake nikavutiwa nayo lakini baada ya muda nikagundua huyu mtu akili yake haipo sawasawa
Kwanza namna anavyowachora wanawake kama sio binadamu
Pili haoni mapungufu ya wanaume lawama zake zote huzitupia kwa wanawake
Tatu KACHAGUA KUNDI DHAIFU LA KULISHAMBULIA AMBALO NI KUNDI LA SINGLE MOTHER
Kinachoshangaza zaidi ni namna ambavyo watu wanamsapoti kwenye comment zake kitu ambacho ni tofauti na uhalisia mtaani
Nahisi ni mtu ambae amelelewa na single mother au ameshawai kukataliwa na single mother
Maoni yangu ni hayo sijui kwenu nyie